Matumizi ya ChatGPT na poe kulemaza akili

Matumizi ya ChatGPT na poe kulemaza akili

likat

Member
Joined
Feb 19, 2013
Posts
40
Reaction score
32
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unazidi kuathiriwa na matumizi ya mifumo ya akili bandia kama ChatGPT na mifumo mingine. Ni kweli inarahisisha mambo kwa kiwango cha juu lakini akili za mtu zinazidi kudumaa.
 
ChaGpt imekujibu :
Hoja yako inaonyesha wasiwasi mzuri kuhusu athari za mifumo ya akili bandia kama ChatGPT kwa uwezo wa kufikiri wa mwanadamu. Hapa kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia:

1. Urahisi wa Kufikia Taarifa: Mifumo ya AI inaweza kufanya upatikanaji wa taarifa kuwa rahisi na haraka, na hivyo kupunguza hitaji la kufikiria kwa kina au kufanya utafiti wa kina. Watu wanaweza kuwa na mazoea ya kutegemea sana teknolojia badala ya kutumia juhudi zao za akili.

2. Kudumaa kwa Akili: Kutegemea sana AI kunaweza kupunguza uwezo wa mtu wa kufikiri kwa ubunifu, kutatua matatizo kwa njia ya kipekee, na kutumia ujuzi wa kuhoji. Hii inaweza kusababisha kupungua kwa uwezo wa kuchanganua na kuzingatia masuala kwa kina.

3. Mafunzo ya Kifaa cha Akili: Watu wanaweza kupoteza ujuzi wa kimsingi kwa sababu ya kutegemea vifaa vya akili bandia. Kwa mfano, uwezo wa kufanya hesabu za kawaida unaweza kudhoofika kwa sababu ya kutumia programu za hesabu.

4. Upotevu wa Maarifa ya Kibinadamu: AI inaweza kuchukua nafasi ya kazi ambazo zilikuwa zinahitaji maarifa ya kibinadamu, na kusababisha kupungua kwa ujuzi wa vitendo. Hii inaweza kusababisha maarifa ya kihistoria na ujuzi wa kitamaduni kupotea.

Hata hivyo, mifumo ya AI inaweza pia kutumiwa kwa njia nzuri ili kuongeza uwezo wa mwanadamu. Inatoa fursa za kujifunza, kuunda, na kutatua matatizo kwa ufanisi zaidi. Ni muhimu kwa watumiaji kujenga uelewa wa jinsi ya kutumia AI kwa usawa, kwa kuzingatia umuhimu wa kuhifadhi na kukuza uwezo wao wa kufikiri na kujifunza.
 
ChaGpt imekujibu :
Hoja yako inaonyesha wasiwasi mzuri kuhusu athari za mifumo ya akili bandia kama ChatGPT kwa uwezo wa kufikiri wa mwanadamu. Hapa kuna baadhi ya mambo ya kuzingatia:

1. Urahisi wa Kufikia Taarifa: Mifumo ya AI inaweza kufanya upatikanaji wa taarifa kuwa rahisi na haraka, na hivyo kupunguza hitaji la kufikiria kwa kina au kufanya utafiti wa kina. Watu wanaweza kuwa na mazoea ya kutegemea sana teknolojia badala ya kutumia juhudi zao za akili.

2. Kudumaa kwa Akili: Kutegemea sana AI kunaweza kupunguza uwezo wa mtu wa kufikiri kwa ubunifu, kutatua matatizo kwa njia ya kipekee, na kutumia ujuzi wa kuhoji. Hii inaweza kusababisha kupungua kwa uwezo wa kuchanganua na kuzingatia masuala kwa kina.

3. Mafunzo ya Kifaa cha Akili: Watu wanaweza kupoteza ujuzi wa kimsingi kwa sababu ya kutegemea vifaa vya akili bandia. Kwa mfano, uwezo wa kufanya hesabu za kawaida unaweza kudhoofika kwa sababu ya kutumia programu za hesabu.

4. Upotevu wa Maarifa ya Kibinadamu: AI inaweza kuchukua nafasi ya kazi ambazo zilikuwa zinahitaji maarifa ya kibinadamu, na kusababisha kupungua kwa ujuzi wa vitendo. Hii inaweza kusababisha maarifa ya kihistoria na ujuzi wa kitamaduni kupotea.

Hata hivyo, mifumo ya AI inaweza pia kutumiwa kwa njia nzuri ili kuongeza uwezo wa mwanadamu. Inatoa fursa za kujifunza, kuunda, na kutatua matatizo kwa ufanisi zaidi. Ni muhimu kwa watumiaji kujenga uelewa wa jinsi ya kutumia AI kwa usawa, kwa kuzingatia umuhimu wa kuhifadhi na kukuza uwezo wao wa kufikiri na kujifunza.
Jumapili nilikuwa naongea na vijana wawili ambao ni watoto wa ndugu zangu ila kila mmoja na Baba yake. Yaani wenyewe hawana undugu.

Wa kwanza anasoma IFM. Akamiambia kuwa kwa IFM wao wanatumia AI kufanyia term paper, class assignment etc. Akasema kuwa hata lecturers hawana shida na hilo

Wa pili anasoma DIT. Aakaniambia kuwa kwa DIT unaweza tu kutumia AI kusoma na kuchukua notes. Lakini ukitumia AI kujibia assignment au term paper basi Lecturers wao wanayo application inayo detect plagiarism ya AI. Na ukikutwa umeitumia waweza kufelishwa.

Nimeipenda DIT kwa hili, Big Up
 
Mwili wenyewe unabadilika, kutoka utotoni utuuzima hadi uzee. Tukubaliane na mabadiliko yanayotokea ulimwenguni kama sehemu ya maisha kama si hivyo turudi tuishi zama za ujima.

Tuwe tayali kuyapokea mabadiliko ili kujenga hali ya kuendana nayo tofauti na hivyo tutabakia kulaumu, kulalama na hatimaye tunajikuta tupo nyuma.

Matumizi ya kutumia nguvu yanaenda kupotea hata hivyo hatujaumbwa kuteseka hapa duniani. Maisha yetu ni mafupi sana.

NB: after 10yrs tutakuwa tushafika mbali sana
 
Jumapili nilikuwa naongea na vijana wawili ambao ni watoto wa ndugu zangu ila kila mmoja na Baba yake. Yaani wenyewe hawana undugu.

Wa kwanza anasoma IFM. Akamiambia kuwa kwa IFM wao wanatumia AI kufanyia term paper, class assignment etc. Akasema kuwa hata lecturers hawana shida na hilo

Wa pili anasoma DIT. Aakaniambia kuwa kwa DIT unaweza tu kutumia AI kusoma na kuchukua notes. Lakini ukitumia AI kujibia assignment au term paper basi Lecturers wao wanayo application inayo detect plagiarism ya AI. Na ukikutwa umeitumia waweza kufelishwa.

Nimeipenda DIT kwa hili, Big Up
Hao DIT ni wajinga sana kwamba wao ni bora kuliko Al? Jibu ni hapana

tunabaadhi ya walimu ni watu dormant sana Hawapo kupokea mawazo ya nje walichokiamini.

Dunia ya leo nihangaike kwenda maktaba wakati simu ipo na inakila kitu.
 
Hao DIT ni wajinga sana kwamba wao ni bora kuliko Al? Jibu ni hapana

tunabaadhi ya walimu ni watu dormant sana Hawapo kupokea mawazo ya nje walichokiamini.

Dunia ya leo nihangaike kwenda maktaba wakati simu ipo na inakila kitu.
Hawana shida kwenye kusomea kwa kutumia AI, bali wakati wa kujibu maswwli ya assignment. Mwanafunzi inabidi a reproduce alichojifunza na siyo plagiarism
 
Jumapili nilikuwa naongea na vijana wawili ambao ni watoto wa ndugu zangu ila kila mmoja na Baba yake. Yaani wenyewe hawana undugu.

Wa kwanza anasoma IFM. Akamiambia kuwa kwa IFM wao wanatumia AI kufanyia term paper, class assignment etc. Akasema kuwa hata lecturers hawana shida na hilo

Wa pili anasoma DIT. Aakaniambia kuwa kwa DIT unaweza tu kutumia AI kusoma na kuchukua notes. Lakini ukitumia AI kujibia assignment au term paper basi Lecturers wao wanayo application inayo detect plagiarism ya AI. Na ukikutwa umeitumia waweza kufelishwa.

Nimeipenda DIT kwa hili, Big Up
hivi bado system ya software plagiarism IFM hakuna
types-of-plagiarism.jpg
 
Uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unazidi kuathiriwa na matumizi ya mifumo ya akili bandia kama ChatGPT na mifumo mingine. Ni kweli inarahisisha mambo kwa kiwango cha juu lakini akili za mtu zinazidi kudumaa.
Kupanda magari, kutumia computers, kutumia machines, kutumia simu kote huko ni kumlemaza mtu
 
Hata zamani walipinga ujio wa Calculators lakini sasa hivi nani hatumii calculator.
 

Attachments

  • Screenshot_20230403_140358_Instagram.jpg
    Screenshot_20230403_140358_Instagram.jpg
    654 KB · Views: 6
Back
Top Bottom