Matumizi ya chumvi kuondoa mikosi

Enzi za nabii Eliya,kuliwahi kutokea shida ya Wanawake kupata ujauzito na kutoka (Miscarriage/Contagious abortion),Nabii Eliya aliweka chumvi ktk visima walivyochota maji na tatizo hilo likaisha kabisa,kwa hiyo itakuwa ni kweli.
 
Mkuu DIVINE naomba msaada hapa.

Kwa mfano nikawa naitumia lakini manuizi yangu yakahusisha Mwenyezi Mungu ''mfano nikasema ee Mwenyezi Mungu ninakuomba kwa kupitia chumvi hii unibarikie na uniondolee mikosi yote na baraka zifunguke kwangu, kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareti naomba na kuamini. Amina''. Halafu nikaendelea kuyaoga hayo maji yenye chumvi

Je hapa nitakua nimetenda dhambi kwa kutumia chumvi?
 
Ahsante sana.
 
Ahsante kwa ushuhuda mkuu
 
Kuna logic hapaπŸ™
 
Hiyo ndiyo yenyewe haswaa! Na ndio tiba haswaa chumvi haina shida na yesu au mungu ila ina shida sana na shetani na mawakala wake hao ndio hawapatani na chumvi kabisaa
 
Hata KKKT hutumia chumvi na maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…