Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli, Mimi condomu ili niokoa mwaka 2015 Mwanzoni nili gonga Demu aliye nitesa toka O'level miaka ya 2006 hiv......! Alikuwa kanibania.je condom ni njia sahihi ya kujikinga na maambukizi ya magonjwa mbalimbali.............maoni
Kwaiyo naye aliamua akuzimeNi kweli, Mimi condomu ili niokoa mwaka 2015 Mwanzoni nili gonga Demu aliye nitesa toka O'level miaka ya 2006 hiv......! Alikuwa kanibania.
Baadaye nikapata Ajira nikaajiriwa mitaa yao. Nika Mkumbusha japo alikuwa kazalishwa sikujali. ...,...
Eeee bwana baada ya kugonga nikazipata kuwa ni mwathirika wa UKIMWI na alupewa na MWL wa primary na hata mtoto aliye naye ni Mwathirika!
Nikapiga moyo konde, nimepima Mara kadhaa na kuchangia DAMU SALAMA nimehakikishiwa Niko fresh.........!
CONDOM NI KWELI ZINA KINGA......
Bwana!!!!!Kwaiyo naye aliamua akuzime
[emoji81] [emoji81] [emoji81] kapime ubadili tabia hatarishiMm navyopiga dry mpk najiogopa huu moyo wa chuma nmeutoa wapi
Mkuu jizoeze kutumia kondomuMm navyopiga dry mpk najiogopa huu moyo wa chuma nmeutoa wapi
Nibadili tabia gani?!...hivi wasiotumia cndm ndio wanao[emoji81] [emoji81] [emoji81] kapime ubadili tabia hatarishi
Umri nliokuwa nao nmeshachelewa kujizoeshaMkuu jizoeze kutumia kondomu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] team dry mass.Mm navyopiga dry mpk najiogopa huu moyo wa chuma nmeutoa wapi
Kumbe kwanini sasa unajiogopa?Nibadili tabia gani?!...hivi wasiotumia cndm ndio wanao
Najiogopa kwa moyo wangu mgumu tuKumbe kwanini sasa unajiogopa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Condom dhambi