Matumizi ya condom

Matumizi ya condom

Mimi hapa muwasho umejaa mwili mzima , sjui nmeunasa Tayari?? Niligusa mmoja akiwa Vct negative na majibu alinipa nikayaona ... Nina hofu tele
 
Huwaga nabebaga mfukoni ila nashtuka nimepiga kavu bada ya chezo kwisha
 
Ni kweli, Mimi condomu ili niokoa mwaka 2015 Mwanzoni nili gonga Demu aliye nitesa toka O'level miaka ya 2006 hiv......! Alikuwa kanibania.
Baadaye nikapata Ajira nikaajiriwa mitaa yao. Nika Mkumbusha japo alikuwa kazalishwa sikujali. ...,...

Eeee bwana baada ya kugonga nikazipata kuwa ni mwathirika wa UKIMWI na alupewa na MWL wa primary na hata mtoto aliye naye ni Mwathirika!

Nikapiga moyo konde, nimepima Mara kadhaa na kuchangia DAMU SALAMA nimehakikishiwa Niko fresh.........!

CONDOM NI KWELI ZINA KINGA......
Hujamsugua vizuri
 
Issue ya matumizi ya condom ni tata sana. Inasemekana % kubwa ya watu hawatumii condoms na hata wakianza kutumia hua hawako consistence na matumizi hayo.

Lakini kinachochosha zaidi ni namna maambukizi yanavyotokea hasa HIV/AIDS ni kituko. Kuna watu kadhaa zaidi ya wanandoa 5 ninaowajua mm. Wakiwemo ndg zangu couple2 na workmate dogo fulani hv yaani watu wanaishi kindoa wanagegedana vzr tu. Ila wanapopima mmoja anakutwa na maambukizo mwingine wala yuko neg-ve hapo ndipo Mr Deception anapokuaga mkali.

Mimi labda uniambie condom inazuia mimba nitakuelewa ila hii hbr ya maambukizi nakataa.

Niliwahi soma habari za kondoms inasemekana walau kdg zile zinatengenezwa kwa Latex material zina kaubora kakuridhisha kuliko zinazotengenezwa kwa lambskin. Sasa kanunue kondoms zilizo maarufu kwa matumizi bongo uone zimetengenezwa kwa material gani? Hizo Latex ndo zinauzwa 2000+ hz za jerojero majanga.

Napita tu lakini
 
Back
Top Bottom