Lee Swagger
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 1,063
- 1,815
Kwa Wale wapambanaji Wenzangu wa Mitandaoni nikiongelea Upwork nafkiri sio Kitu Kigeni. Kwa Wale Ambao Hawafahamu kuhusu Fursa za Upwork fuatlia Uzi Mbali mbali upate Mwanga.
Moja Kwa Moja Kuna Zile Connect za Kuombea Kazi kule Upwork, Kuna ambazo ni za Bure Kila Mwezi Na Kuna Zile Zinauzwa Kwa Bundle.
Mimi Sio mzoefu Sana Kwenye Upwork ndio Kwanza Nimejiunga, nimepokea invitation moja ya Kazi. Sasa huyu bwana ameniambia tutafanya kikao, kama navutiwa Kufanya Kazi, Haya Mimi nikamwambia Nipo Available. Akapotea Baada ya Siku Mbili Mimi Hata Sikumcheki. Akarudi akaniuliza mbona Kimya Kuhusu Kikao/meeting. Sasa Ndugu Zangu Hapa Mimi nikashindwa Kuelewa Nani anatakiwa Amcheki Mwenzake. Na Hivi Vikao/Meeting Inakuaje Wazoefu Mnipange. Kama Nimezingua. Akanipanga Akasema Ijumaa Hii Ndio Atakua Na Nafasi Ya Kikao. Na Mimi Nikamwambia Fresh Mimi nipo Tu.
Swala lingine: Je Hizi Bando za Upwork ninunue au nipambane na Zile Za Bure Tu?
Swala Lingine: Kitufe Cha Availability kuwaka pale mabayo Inatumia 6 connect Kwa wiki Je Yafaa kuiweka Hyo Huduma Au ni kiherehere. Kwasababu Mimi ni Beginner naa Nataka nIpate Wateja/clients Kwa Namna yoyote kama Waliofanikiwa wanavyofanya Kwenye hyo Platform.
Swala Lingine: Nimeona Unaweza Kupata Kazi hapa Upwork alafu ukaenda Kuipeleka Fiver Kutafuta mtu mwingine aifanye Kwa Kukosaa Muda, Swala linakuja Kule Fivver wakati unaingia Contract na Muuzaji/seller inapaswa Hela Ulipe Kabisa, Hela ikae Kwenye Escrow. Sasa kwa Kazi ya $1000 hii Utafanyaje Au Inabidi Uwe na Kamtaji Pembeni Cha kumaliza Hizi Dili Kule Fivver. Hapa Wenzangu Mnafanyaje, Kwasababu kuendana na Fani yangu Kuna Kazi Mpka Za $1500.
Swala Lingine: Kwenye Portfolio Yangu Kuna Projects zaidi Ya 60 ambazo Nimeweka Na Nimezifanya Mimi. Na Nina uzoefu wa Muda mrefu Nimeweka Rate ya $35/hr ambapo Ukitoa Commission nachukua $28/hr. Na Hii Nimeweka baada ya Kufanya Tafiti Za Wadau Wengine Wenye Fani Kama Yangu alafu nikashusha Bei Kidogo.
Swala Lingine: Kitu Gani Cha Kuzingatia unapochukua Kazi Upwork na Kwenda Kuiuza Fivver.
Naomba Michango YENU Wadau.
Moja Kwa Moja Kuna Zile Connect za Kuombea Kazi kule Upwork, Kuna ambazo ni za Bure Kila Mwezi Na Kuna Zile Zinauzwa Kwa Bundle.
Mimi Sio mzoefu Sana Kwenye Upwork ndio Kwanza Nimejiunga, nimepokea invitation moja ya Kazi. Sasa huyu bwana ameniambia tutafanya kikao, kama navutiwa Kufanya Kazi, Haya Mimi nikamwambia Nipo Available. Akapotea Baada ya Siku Mbili Mimi Hata Sikumcheki. Akarudi akaniuliza mbona Kimya Kuhusu Kikao/meeting. Sasa Ndugu Zangu Hapa Mimi nikashindwa Kuelewa Nani anatakiwa Amcheki Mwenzake. Na Hivi Vikao/Meeting Inakuaje Wazoefu Mnipange. Kama Nimezingua. Akanipanga Akasema Ijumaa Hii Ndio Atakua Na Nafasi Ya Kikao. Na Mimi Nikamwambia Fresh Mimi nipo Tu.
Swala lingine: Je Hizi Bando za Upwork ninunue au nipambane na Zile Za Bure Tu?
Swala Lingine: Kitufe Cha Availability kuwaka pale mabayo Inatumia 6 connect Kwa wiki Je Yafaa kuiweka Hyo Huduma Au ni kiherehere. Kwasababu Mimi ni Beginner naa Nataka nIpate Wateja/clients Kwa Namna yoyote kama Waliofanikiwa wanavyofanya Kwenye hyo Platform.
Swala Lingine: Nimeona Unaweza Kupata Kazi hapa Upwork alafu ukaenda Kuipeleka Fiver Kutafuta mtu mwingine aifanye Kwa Kukosaa Muda, Swala linakuja Kule Fivver wakati unaingia Contract na Muuzaji/seller inapaswa Hela Ulipe Kabisa, Hela ikae Kwenye Escrow. Sasa kwa Kazi ya $1000 hii Utafanyaje Au Inabidi Uwe na Kamtaji Pembeni Cha kumaliza Hizi Dili Kule Fivver. Hapa Wenzangu Mnafanyaje, Kwasababu kuendana na Fani yangu Kuna Kazi Mpka Za $1500.
Swala Lingine: Kwenye Portfolio Yangu Kuna Projects zaidi Ya 60 ambazo Nimeweka Na Nimezifanya Mimi. Na Nina uzoefu wa Muda mrefu Nimeweka Rate ya $35/hr ambapo Ukitoa Commission nachukua $28/hr. Na Hii Nimeweka baada ya Kufanya Tafiti Za Wadau Wengine Wenye Fani Kama Yangu alafu nikashusha Bei Kidogo.
Swala Lingine: Kitu Gani Cha Kuzingatia unapochukua Kazi Upwork na Kwenda Kuiuza Fivver.
Naomba Michango YENU Wadau.