Matumizi ya dola ya kimarekani kama sarafu ya Tanzania

Matumizi ya dola ya kimarekani kama sarafu ya Tanzania

Leaders aren't born. They are made. Kikwete alitumia muda mwingi kukimbiza mwenge. Je unategemea nini?

Nimependa sana observation yako hiyo; hayo ni matokeo ya kuwa na mfumo mbovu wa kisiasa, kuwa ili uchaguliwe ni lazima usimamishwe na chama chako, wakati utaratibu wa kusimamishwa na chama nao umepindapinda. Iwapo Marekani wangenkuwa na utaratibu kama wa Tanzania, basi leo hii Obama asingekuwa rais wa Marekani kwa vile ma-alwatani wote wa democrat walikuwa chini ya Hillary.
 
So what? Kama wabunge wa chama chake wanaweza kumshinikiza mara mbili awafukuze kazi mawaziri na yeye kuweza kufanya hivyo bila hata ya kutia neno basi pia ingewezekana kumshinikiza kwenye hili. Tatizo wengi wanafaidika na hili wanatoa matamko kila baada ya muda fulani hakuna ufuatiliaji, wameshamjua kiongozi wao ni DHAIFU wangemshinikiza kwenye hili basi hatua muafaka zingeshachukuliwa miaka mingi iliyopita.

Leaders aren't born. They are made. Kikwete alitumia muda mwingi kukimbiza mwenge. Je unategemea nini?
 
Back
Top Bottom