Matumizi ya "Dr" kwa wanasiasa wetu ni PhD au vumbi?

dr mary nagu
dr nelson ruta
dr nchimbi
dr makongoro mahanga
msemakweli upo na mafisadi wa elimu?
 

Ulimbukeni uawasumbua wanasiasa na viongozi wetu. Nchi za wenzetu watu wana Phd zao lakini hujikuti wakijiita Dr hata siku moja. Imagine Lyatonga nae ni Dr!
 
Hata Slaa na kale ka JCD kake ka kusoma misa, hapaswi kujiita Dr!
Sijawahi kucheka kama leo........eti ka JCD kake ka kusomea misa .teh-tehe tehe. Wanasiasa wa Tanzania kwa kupenda sifa! hivi mrema anajua neno "PhD" lina maana gani?
 

Nadhan lengo lako ni kutueleza umesoma PhD ukaamua utupige fix kiaina
 
Mwikimbi Obama hajawahi kuwa na PhD
 
Last edited by a moderator:
Sio matumizi ya Dr tuu hata wanaotumia initial za Proffesor sio sawa kama hawajasotea
 
Dr Aisha Kigoda, ambaye ni just RMA sijui medical assistant
Dr. Nchimbi.....na PhD yake ya bogus online university
Afadhali hata huyo professor maji marefu labda amekuwa prof. kwa tunguri na miujiza ya ajabu.
 
Na ni mabingwa wa kupiga majungu wasomi wa kweli wanaoingia kwenye siasa kwa kuwaambia humu sio kwenu, nendeni vyuo vikuu, nchi hii haina mahitaji ya viongozi wakuu wenye PhD, lakini ni hao hao ndio wapo mstari wa mbele kwenda kuokoteza PhD majalalani;
 

ndugu yangu, mbona unanichekesha? waende vyuo vikuu GPA zinatosha? labda unamzungumzia Lipumba na wengine wachache sana!!!
 
Wanabodi,
Nimeshangaa kusikia sifa za Rais wetu zikiongezeka na kuwa kama za maisha bora kwa kila mtanzania.
Kwa kuitwa Mheshimiwa hiyo nikikubaliana nayo kwa kazi kubwa iliyofanywa 2005 ya ushindi wa kimbunga na chaguo la Mungu akawa Rais akaukwaa Uheshimiwa ambao nimesikia hata mbunge wangu na wakuteuliwa ni Waheshimiwa msumari wa mwisho ni diwani wangu Makundi wa mwika naye kwa nafasi ya sasa baada ya kustaafu Jeshi na kura kutotosha ubunge 2010 zikatosha udiwani naye kwa nafasi ya sasa ni Mheshimiwa kutokana na maelezo hayo nakubaliana na Uheshimiwa nimeusikia sana.
Swali langu kwenu ni baada ya kusikia Rais wangu kapiga hatua kuelekea maisha bora kwa kila mtanzania kawa mfano ni Docta.
Hivi itatuchukua muda gani kuwa docta kama yeye
Je? Jk ni docta wa nini falsafa au nini wanajamvi
Inawezekana ukalala undergraduate ukaamka Dr
Kuuliza si ujinga mods naombeni muiche nielimishwe jk ni modal wa sie kujifunza nataka nijifunze hili la taaluma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…