Matumizi ya energy ni bomu kwa Vijana Afrika

Matumizi ya energy ni bomu kwa Vijana Afrika

Hizo zababu mbili za mwanzo nakubaliana nazo kwa 100%.

Nilipokuwa natumia Energy drinks nilianza kuwa na tatizo la moyo, nikitembea barabarani ghafla mapigo ya moyo yanaongezeka nashindwa kujua sababu, na usingizi usiku ukawa wa kutafuta sana.

Mpaka nilipokuja kujiuliza nimebadilisha au kuongeza kitu gani kwenye mfumo
wangu wa maisha ndio nikahisi ni Energy drinks, nikaamua kuacha kuzitumia, mpaka leo sijawahi kuwa na matatizo hayo tena.
Nilifululiza Hanson choice na redbull siku 3 mfululizo.. Niliugua wiki nzima
 
Wakati huo wauzaji wamiliki wakiingia kwenye rekodi za matajiri [emoji24][emoji24][emoji24]
Na sisi tukizidi kuwatajirisha na kujiandalia magonjwa ya uzeeni, kama kansa, kisukari, hitilafu za moyo n.k

Cha msingi mkuu, ni mazoezi ya mara kwa mara, na kunywa maji ya kutosha, kidogo itasaidia kupunguza sumu tunazozikusanya mwilini.
 
Hivi mo energy iliwekwa nini aisee maana kila pombe kali niliyowahi kuchanganyia haijawahi kuniangusha.
Tukianza na mixture ya mo energy berry flavor & double kick potable cane spirit kuna ladha flani hivi kama vilizaliwa pamoja.
Ukija kuichanganya na K-vants ndio kabsaa hutaicha.
 
Back
Top Bottom