Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna uafadhari ni kujiangamiza kidogo kidogo.Ikiwa unafanya kazi ngumu kidogo afadhari
Nilifululiza Hanson choice na redbull siku 3 mfululizo.. Niliugua wiki nzimaHizo zababu mbili za mwanzo nakubaliana nazo kwa 100%.
Nilipokuwa natumia Energy drinks nilianza kuwa na tatizo la moyo, nikitembea barabarani ghafla mapigo ya moyo yanaongezeka nashindwa kujua sababu, na usingizi usiku ukawa wa kutafuta sana.
Mpaka nilipokuja kujiuliza nimebadilisha au kuongeza kitu gani kwenye mfumo
wangu wa maisha ndio nikahisi ni Energy drinks, nikaamua kuacha kuzitumia, mpaka leo sijawahi kuwa na matatizo hayo tena.
Hatari sana mkuu, nadhani kizazi chetu kitavamiwa na magonjwa lukuki, kwa sababu bidhaa nyingi tunazotumia kwa sasa madhara yake tutaanza kuyapata tukifikia kwenye utu uzima.Kikiisha nguvu mwilini unajihisi kuchoka sana na kukosa vibe... Ukikapata ukapiga funda moja tuu vibe na nguvu vinarudi upya
Hapo kuna research gape tayari. Hiyo gape ukiifanyia kazi utaheshimika kuliko maprofesa wengi wa hapa TzTafiti ni za Ulaya na Toronto, ila athari ni kwa vijana wa Afrika.!
Wakati huo wauzaji wamiliki wakiingia kwenye rekodi za matajiri [emoji24][emoji24][emoji24]Hatari sana mkuu, nadhani kizazi chetu kitavamiwa na magonjwa lukuki, kwa sababu bidhaa nyingi tunazotumia kwa sasa madhara yake tutaanza kuyapata tukifikia kwenye utu uzima.
Na sisi tukizidi kuwatajirisha na kujiandalia magonjwa ya uzeeni, kama kansa, kisukari, hitilafu za moyo n.kWakati huo wauzaji wamiliki wakiingia kwenye rekodi za matajiri [emoji24][emoji24][emoji24]
Soda ndiyo mbaya zaidi mkuu.Vipi soda? Watafiti hawajatutishia kwenye hilo