Natamani hii comment ingekuwa kama tangazo kwa manufaa ya jamiii mitandaoni na kwenye vyombo vya habariNa sisi tukizidi kuwatajirisha na kujiandalia magonjwa ya uzeeni, kama kansa, kisukari, hitilafu za moyo n.k
Cha msingi mkuu, ni mazoezi ya mara kwa mara, na kunywa maji ya kutosha, kidogo itasaidia kupunguza sumu tunazozikusanya mwilini.
Jaribu na Hanson choice.. Matusi yamesingiziwaHivi mo energy iliwekwa nini aisee maana kila pombe kali niliyowahi kuchanganyia haijawahi kuniangusha.
Tukianza na mixture ya mo energy berry flavor & double kick potable cane spirit kuna ladha flani hivi kama vilizaliwa pamoja.
Ukija kuichanganya na K-vants ndio kabsaa hutaicha.
Yote kushindana na papuchi mwisho wa siku utaumia ww .Ni kawaida VIJANA wa kileo kushindana katika kufakamia Red Bull, Monster Energy, MO Energy na vinginevyo, huku Wengine wakioneshana ubobezi wa kuchanganya Vinywaji Hivyo na Pombe.
Chombo Cha UMOJA wa ULAYA chenye Mamlaka ya kusimamia Usalama wa Chakula (European Food Safety Authority, kimebainisha kuwa Asilimia 30 ya Watu wazima hutumia Energy Drinks, Asilimia 68 Ni Watoto wa Umri wa Miaka 16-18 na Asilimia 18 ni Watoto CHINI ya Miaka 10.
Pamoja na Ongezeko la Watoto na VIJANA Wanaotumia, Tafiti zinaonesha kuwa Matumizi ya Vinywaji vya kuchochea nguvu maarufu Kama Energy Drinks, Yana athari Kubwa kwa Afya ya Mwanadamu.
Utafiti uliofanywa na Jopo Wataalam toka Shirika la Afya Ulimwenguni 'WHO,' umethibitisha kuwa vivywaji vya Energy, ambavyo ni mchanganyiko wa kichocheo Cha Caffeine, sukari, Sodium na Taurine ni Chanzo kikuu cha MATATIZO ya MOYO, Akili ikiwemo kukosa usingizi, Shinikizo la Juu la DAMU, Shambulio la MOYO, Mpapatiko wa MOYO(Heart Palpitations), sonona, Kukosa utulivu(Restlessness) na kuishiwa maji mwilini(dehydration, na vifo vya ghafla, kutokana na Shambulio la MOYO(cardiac arrest).
Kwa mujibu wa Matokeo ya Utafiti wa Chuo Kikuu cha Toronto ya Mwaka 2015, Matumizi ya Energy Drinks yaweza kupelekea Athari ya kuharibika kwa UBONGO.Brain Damage.
Hatari ya Matumizi yya Energy Drinks huongezeka Mara dufu pale vinywaji hivyo vinapochanganywa na Pombe. Kuto
Athari ya vinywaji Hivyo kwa Watoto zimepelekea Ushirikiano wa Madaktari wa Marekani(American Medical Association) kuzuia Watoto CHINI ya Miaka 18 kutumia Energy Drinks.
Dokta Stephen Nguyan MD, Palo Alto wa Taasisi ya Afya wanadai kuwa Matumizi ya vinywaji hivi si SALAMA kabisa. Wakati chupa Moja ya SODA(COKE, PEPSI) kina KIWANGO cha Caffeine cha miligramu 35, vinywa vya kuchochea nguvu maarufu Kama Energy Drinks vina Caffeine miligramu kuanzia 150 Hadi 280. Kiwango Cha juu Cha caffeine kwa MTU Mwenye kilo 70 Ni miligramu 210.
Kuhusu vifo vinavyotokana na Energy Drinks, Dalili za MWANZO Ni kifua kubana, uchovu, miguu kuvimba, kizunguzungu kikali, kuona giza la ghafla, Kukosa usingizi. Unapohisi Dalili hizo ni king'ora Cha HATARI.
Nimeshuhudia VIJANA wawili, wabobevu wa Matumizi ya Energy Drinks Wakipoteza MAISHA kwa Shambulio la MOYO. VIJANA walioshaurika na kuacha Matumizi ya vinywaji Hivyo Hadi Sasa wako hai.
Je, tunapoteza nguvu KAZI kiasi gani kutokana na JINAMIZI HILI? Je, tutakwepaje HATIA ya kukitoa KAFARA kizazi chetu kwa kigezo feki Cha Kulinda UCHUMI?
VIJANA wa Bara la AFRIKA wapaswa kulitegua BOMU hili HATARI kwa kwa kupaaza SAUTI Ili Nchi zao ziwe na SERA za Kulinda USALAMA WA WATU WAO. Katika hili Tanzania yapaswa kuongoza usukani.
Mchango wangu mdogo tu, lakini bandiko lako la uzi limebeba taarifa kwa marefu na mapana ambalo limefungua watu wengi zaidi. Naomba ukipata muda uje na bandiko la wavuta sigara kwa sababu naona na wao wanaangamia siku hadi siku.Natamani hii comment ingekuwa kama tangazo kwa manufaa ya jamiii mitandaoni na kwenye vyombo vya habari
Mwenye sikio na asikie.Ni kawaida VIJANA wa kileo kushindana katika kufakamia Red Bull, Monster Energy, MO Energy na vinginevyo, huku Wengine wakioneshana ubobezi wa kuchanganya Vinywaji Hivyo na Pombe.
Chombo Cha UMOJA wa ULAYA chenye Mamlaka ya kusimamia Usalama wa Chakula (European Food Safety Authority, kimebainisha kuwa Asilimia 30 ya Watu wazima hutumia Energy Drinks, Asilimia 68 Ni Watoto wa Umri wa Miaka 16-18 na Asilimia 18 ni Watoto CHINI ya Miaka 10.
Pamoja na Ongezeko la Watoto na VIJANA Wanaotumia, Tafiti zinaonesha kuwa Matumizi ya Vinywaji vya kuchochea nguvu maarufu Kama Energy Drinks, Yana athari Kubwa kwa Afya ya Mwanadamu.
Utafiti uliofanywa na Jopo Wataalam toka Shirika la Afya Ulimwenguni 'WHO,' umethibitisha kuwa vivywaji vya Energy, ambavyo ni mchanganyiko wa kichocheo Cha Caffeine, sukari, Sodium na Taurine ni Chanzo kikuu cha MATATIZO ya MOYO, Akili ikiwemo kukosa usingizi, Shinikizo la Juu la DAMU, Shambulio la MOYO, Mpapatiko wa MOYO(Heart Palpitations), sonona, Kukosa utulivu(Restlessness) na kuishiwa maji mwilini(dehydration, na vifo vya ghafla, kutokana na Shambulio la MOYO(cardiac arrest).
Kwa mujibu wa Matokeo ya Utafiti wa Chuo Kikuu cha Toronto ya Mwaka 2015, Matumizi ya Energy Drinks yaweza kupelekea Athari ya kuharibika kwa UBONGO.Brain Damage.
Hatari ya Matumizi yya Energy Drinks huongezeka Mara dufu pale vinywaji hivyo vinapochanganywa na Pombe. Kuto
Athari ya vinywaji Hivyo kwa Watoto zimepelekea Ushirikiano wa Madaktari wa Marekani(American Medical Association) kuzuia Watoto CHINI ya Miaka 18 kutumia Energy Drinks.
Dokta Stephen Nguyan MD, Palo Alto wa Taasisi ya Afya wanadai kuwa Matumizi ya vinywaji hivi si SALAMA kabisa. Wakati chupa Moja ya SODA(COKE, PEPSI) kina KIWANGO cha Caffeine cha miligramu 35, vinywa vya kuchochea nguvu maarufu Kama Energy Drinks vina Caffeine miligramu kuanzia 150 Hadi 280. Kiwango Cha juu Cha caffeine kwa MTU Mwenye kilo 70 Ni miligramu 210.
Kuhusu vifo vinavyotokana na Energy Drinks, Dalili za MWANZO Ni kifua kubana, uchovu, miguu kuvimba, kizunguzungu kikali, kuona giza la ghafla, Kukosa usingizi. Unapohisi Dalili hizo ni king'ora Cha HATARI.
Nimeshuhudia VIJANA wawili, wabobevu wa Matumizi ya Energy Drinks Wakipoteza MAISHA kwa Shambulio la MOYO. VIJANA walioshaurika na kuacha Matumizi ya vinywaji Hivyo Hadi Sasa wako hai.
Je, tunapoteza nguvu KAZI kiasi gani kutokana na JINAMIZI HILI? Je, tutakwepaje HATIA ya kukitoa KAFARA kizazi chetu kwa kigezo feki Cha Kulinda UCHUMI?
VIJANA wa Bara la AFRIKA wapaswa kulitegua BOMU hili HATARI kwa kwa kupaaza SAUTI Ili Nchi zao ziwe na SERA za Kulinda USALAMA WA WATU WAO. Katika hili Tanzania yapaswa kuongoza usukani.
Embu nitishe kidogoSoda ndiyo mbaya zaidi mkuu.
tofautisha kati ya mada na maada.Siku Mshana akifa tutamkumbuka sana kwa kuleta maada chokonozi na zile za elimu Mtambuka.
Hakuna uafadhari ni kujiangamiza kidogo kidogo.
Kama ni mfanya kazi ngumu basi kinyaji bora ni Maziwa FRESH yakiwa na kahawa kiasi, Waweza kunywa wakati wowote wa siku.
[emoji1534][emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mchango wangu mdogo tu, lakini bandiko lako la uzi limebeba taarifa kwa marefu na mapana ambalo limefungua watu wengi zaidi. Naomba ukipata muda uje na bandiko la wavuta sigara kwa sababu naona na wao wanaangamia siku hadi siku.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23][emoji23]Tulienda ukweni muoaji akajisahau akaagiza Energy aisee tulijitetea kwa mashemeji balaa.
Muoaji anasema yeye kazoea tu ni kama soda.
Mrejesho wake Ndoa ilidumu miezi sita mwanamke akaomba waachane.
nimemshauri rafiki yangu aliweza kuacha cku2 tu kaanza tena kwa cku anapiga2.Na kuna siku nilienda semina tukaambiwa kila mmoja aagize kinywaji.%80 waliagiza soda na 10tu maji.Hatari.Unamkuta mtu anakula chakula anapiga na energ au soda halaeu sigara laah!Huku vijijini ndo RiPLESIMENTI ya soda watu wanabugia kwa kwenda mbele utazani chai bila kujali umri, hata vitoto vidogo
Kaka mshana nimekutafuta PM nimeambiwa siwezi kuanzisha conversation. Nilikua naomba msaada kidogo. π ππΊπππΎNatamani hii comment ingekuwa kama tangazo kwa manufaa ya jamiii mitandaoni na kwenye vyombo vya habari
huzijui!?lakini unashuhudia jinsi zinavyonywewa kwa Sana!!Du aisee watu wanazibugia kama Nini Yani? Ivi zikoje izo
Sasa tutamkumbukaje wakati huu tunaye!?Kwahiyo unasubiri afe ndio umkumbuke?
Hayo maziwa fresh yenyewe siku hizi wanayachakachua sana hasa huku mijini.Hakuna uafadhari ni kujiangamiza kidogo kidogo.
Kama ni mfanya kazi ngumu basi kinyaji bora ni Maziwa FRESH yakiwa na kahawa kiasi, Waweza kunywa wakati wowote wa siku.