matumizi ya facebook yanaweza kuvunja ndoa.

twenty2

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
296
Reaction score
32
ni kweli matumizi ya facebook yanaweza kuvunja ndoa,kwasababu watu wengi wanaochart kwenye facebook ni wanausisha zaidi mapenzi na sio kingine pia inawafanya watu wanakuwa so free kusema chochote na ata kukufanyia chochote,na usiweze kubisha coz inaonyesha details zako zote.
 
ni kwelii kabisaaaaaaaaaaaaaaaa,ukijijiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Hamieni JF mtunze heshima zenu na za ndoa zenu
ni kweli bt kwani jf nao watongozani?sema matumizi yake ni tofauti,ipo juu kiasi chake,mjitaidi kuwashawishi waameeeeeeeeee.
 
Unapotembelea mitandao ya kijamii sio FB to ipo mingi sana unatakiwa uwe makini na details zako pia na watu unao-deal nao. Kuna maafa makubwa sana kwa jamii ya leo. Take care.
 
hapo umenena,mume wangu kajiunga na fb kwa kujificha sijui anamaanisha nini,au ndo anatumia kutongozea ivo?wana jf mnaonaje nianze mimi kujipendekeza kwake nikitumia jina jingine kwene FB hahaaaaaaaaaaaaa then nione kama atanitongoza
 
Sio member wa hiyo kitu, in fact sipendi hicho kitabu cha sura! :bange:
 
Lazima tuwe tayari na changamoto za TEKNOHAMA,vingivevyo inakula kwako.
 
kila kitu kina faida na hasara, jinsi utakavyokitumia akili kichwani mwako. pia kuna ma-setting kibao, usiadd watu usiowajua na hata unaowajua unaweza weka restriction, msilundike mapicha yenu huko not safe oooooooh bora kubaki jf tu
 
ya 95%
bcz facebook inapelekea ushawishi kwa wengine,
 
tatizo ni security features tunazoweka kwenye accounts zetu, ukiwa makini hamna kitachokuzingua na ndoa/mahusiano yake yatakuwa secured
 
Unapotembelea mitandao ya kijamii sio FB to ipo mingi sana unatakiwa uwe makini na details zako pia na watu unao-deal nao. Kuna maafa makubwa sana kwa jamii ya leo. Take care.

Nilijoin zamani lakini huwa sipendi kuingia, naweza kuathirika vipi? Pili nawezaje kutoka kwenye FB
 
Haya wana fesibuku,ndo maana sihangaiki nayo!
 
Facebook lakini utakuta ina magari,viatu,jicho,maua,etc kwanini wasingeiita album?
 
Ngoja nikajiunge FB....kumbe kuna vya bwereree.... madem wa JF wagumu sana...afu unaweza fikiri unatongoza demu kumbe dume....Avatar zinatuponza

Babu kwani bado unachomekea ndogondogo?
 
hapo umenena,mume wangu kajiunga na fb kwa kujificha sijui anamaanisha nini,au ndo anatumia kutongozea ivo?wana jf mnaonaje nianze mimi kujipendekeza kwake nikitumia jina jingine kwene FB hahaaaaaaaaaaaaa then nione kama atanitongoza

Una moyo wa kustahimili yatayotokea pindi atakapokutongoza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…