twenty2
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 296
- 32
ni kweli matumizi ya facebook yanaweza kuvunja ndoa,kwasababu watu wengi wanaochart kwenye facebook ni wanausisha zaidi mapenzi na sio kingine pia inawafanya watu wanakuwa so free kusema chochote na ata kukufanyia chochote,na usiweze kubisha coz inaonyesha details zako zote.