Spider JF-Expert Member Joined Feb 13, 2011 Posts 1,640 Reaction score 550 Dec 22, 2012 #21 hili lishakuwa janga la kitahifa sasa.akuna aja ya kulihundia tume ya kufanya huchunguzi kwa keri
Spider JF-Expert Member Joined Feb 13, 2011 Posts 1,640 Reaction score 550 Dec 22, 2012 #22 BelindaJacob said: Kuna mtu kila akitext anaandika ''Nimehamua'' yaani hizo ''h'' kibao na hana uhusiano wowote na lafudhi/matamshi..sijui ni mazoea?!! Click to expand... kuna wengine uwa wanahandika ivyo kwa makusudi tu bira ya kukusudia.
BelindaJacob said: Kuna mtu kila akitext anaandika ''Nimehamua'' yaani hizo ''h'' kibao na hana uhusiano wowote na lafudhi/matamshi..sijui ni mazoea?!! Click to expand... kuna wengine uwa wanahandika ivyo kwa makusudi tu bira ya kukusudia.
Askari Kanzu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 4,596 Reaction score 1,234 Dec 24, 2012 #23 Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana!
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,211 Reaction score 1,059 Dec 30, 2012 #24 Askari Kanzu said: Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana! Click to expand... Mleta mada anaweza kulia kwa jinsi mnavyomtenda.
Askari Kanzu said: Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana! Click to expand... Mleta mada anaweza kulia kwa jinsi mnavyomtenda.