Matumizi ya "h" yamekithiri

hili lishakuwa janga la kitahifa sasa.akuna aja ya kulihundia tume ya kufanya huchunguzi kwa keri
 
Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…