Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna wengine uwa wanahandika ivyo kwa makusudi tu bira ya kukusudia.Kuna mtu kila akitext anaandika ''Nimehamua'' yaani hizo ''h'' kibao na hana uhusiano wowote na lafudhi/matamshi..sijui ni mazoea?!!
Tafadharini muhache kualibu rhugha ya taifa. Kwa kweri munakera na munahudhi sana!