Matumizi ya Ikulu mbili (Magogoni na Dodoma) siyo chanzo cha kutumia trilioni 33 kama OC huku 15Trln zikiwa za maendeleo?

wazungu wangekuwa wavivu na akili ndogo kama nyie leo hii USA isingesimama, ulishawahi kusikia chochote kuhusu the wild west USA? hiyo Dar yenyewe mnaing’ang’ania kwa sababu wazungu christians walijenga kila kitu, kama Mzungu christian angebakia tanzania na kuijenga dodoma leo hii mngegombania kwenda kuishi huko.

Christian (western) ndiyo suluhisho, tanzagiza haiwezi kuendelea bila ya ku-adapt christian phylosophy.

FIY Mzungu christian alikuwa na mpango wa kuifanya Tabora ndiyo mji mkuu wa nchi yetu na kuhama Dar sema mipango ilivurugwa na vita kuu wa dunia, laiti ingefanikiwa leo hii wote mngekuwa mnakimbilia kuishi Tabora …
 
Kama tu, wangeweza kuchakata hoja yako na kuchukua mazuri bandiko lako lingeleta mabadiriko.
Lakini sasa how? Who? When?
 
Mkuu mimi hii njia yako ninaichukua na kuitumia kwenye maisha yangu binafsi. Siku moja nitakupa mrejesho. Hakika ni bonge moja la idea lakini je atakusikiliza? Hapa ndipo kazi ilipo.
 
Ni ngumu sana kwa mtu mpumbavu kukubali upumbavu wake.watawala wengi wa bara hili wanaingia katika kundi la wapumbavu,hivyo kuzingatia ya umuhimu hawawezi.
 
Unaposema OC ujue ndio imebeba dhana pana
Sio kwamba ni safar tu.sawa wanasafir ila ujue hapo hapo kuna mafuta ,ya doria kwa watu wa doria haya kuna malipo ya casual labor ambayo ni lazima,mikate je?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…