Unakipasua makusudi alaf mnaendelea tena hapo utam huwa unaongezeka kikipasuka katikat ya mchezoVicondom vinajua kuharibu utamu, yani kikishakauka tu kwisha....
Kupima Pima ovyo ilo nalo Ni tatizo.Watu wawe wanapimana HIV kila wiki. Yaani kila Jumapili mnapima ngoma.
1)Kabla hamjaona au kuwa pamoja mnapima
2)Mkishakuwa pamoja ni kila wiki mnapima. Ili mtembelee rimu kwa uhuru. Mtu akiuza mechi huko nje ni kivyake.
3)Hii habari ya kupima kabla ya kuwa pamoja halafu ndio basi eti labda mtu akipata ujauzito imepelekea maambukizi mengi kwa wanandoa.
4) maambukizi mengi hufahamika Mara nyingi mke/mpenzi akienda clinic kwa akipata ujauzito ndio inafahamika kuwa ni positive. TOO LATE.