Lafiki nakusarimu sana
Hujarara?Lafiki nakusarimu sana
Ngoja nire kwanza chakuraHujarara?
Safi sana...Truth comes with pain.
Siyo matamshi pekee. Kuanzia muonekano (kuvaa, kunyoa mpaka kutembea). In-short gestures zote ni muhimu kuzingatia.
Maneno sanifu ya kiswahili kama, kuhodhi, aghalabu, usuli, mawanda mapana, mantiki, zanambiu, ubazazi, kudurusu, kasri na orodha inaendelea... hayana nafasi kabisa kwa waandishi uchwara wanaoiharibu tasnia hii kila uchwao.
Huwa siangalii, sisikilizi na kusoma Swahili new's kutokana na hayo mapungufu.
Kwa mwandishi wa habari yeyote mwenye aidha Cheti/shahada Ni un-ethical kusoma, kuandika Kwa kutozingatia 5W and 1H.
[emoji23] mbona unakura bira kukalibisha?Ngoja nire kwanza chakura
Niridhani ushakura ndio maana sijakukalibisha[emoji23] mbona unakura bira kukalibisha?
Tatizo ni kuwa vyombo vya habari vya bongo havifuati hizo ishuCha kushangaza wapo wengi sana wa aina hiyo. Sidhani kama waajiri wao wana uelewa huo.
Ngoja nire kwanza chakura
Rakini nyie mna nichekesha sana, ndio rugha gani hiyo?Hujarara?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Rakini nyie mna nichekesha sana, ndio rugha gani hiyo?
Nimekura rakini ungenikalibisha ningekura piaNiridhani ushakura ndio maana sijakukalibisha
Ni kiswahiri bwana shemejiRakini nyie mna nichekesha sana, ndio rugha gani hiyo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimekura rakini ungenikalibisha ningekura pia
HahahaNi kiswahiri bwana shemeji
Sio urafi mwiri haujengwi kwa tofari ukumbuke[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe mrafi bana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kura kona tu mkuu kama inakukelaHahaha
Hiyo rugha ina kela kweri kweri
Inakera rakini sasa utafanyaje na watu R na L zinatuchanganya hata kwenye kuongea,sio kuandika peke yakeHahaha
Hiyo rugha ina kela kweri kweri
MmhhSio urafi mwiri haujengwi kwa tofari ukumbuke
Kwa sasa nchi nzima ishakutana na bosi huyo.Siku utakapo kutana na bosi hajui hio r na l lakini inabidi umsikilize tu ili upate pesa ndo utajua kama hizi lugha si chochote cha muhimu ni message