majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 454
- 636
Imefika wakati basi Baraza la Kiswahili lihalalishe tutumie "R" panapokuwa "L" na vice versa...
Maana watu tunashindwa kabisa kutumia hizi Letters panapotakiwa, mfano..
Tuongezee..
Si muda mrefu nami nafikiri ntatumbukia kwenye hili janga...😡🙁
Maana watu tunashindwa kabisa kutumia hizi Letters panapotakiwa, mfano..
- Karo = Kalo
- Kura = Kula
- Laini = Raini
- Limbwata = Rimbwata
- Mara = Mala
- Leo = Reo
- Rekebisha = Lekebisha
- Vurumisha = Vulumisha
- Mchele = Mchere
- Analia = Anaria
- Elfu = Erfu
- Thelathini = Therathini..
- Radio = Ledio
- purukushani = pulukushani
- Remmy Ongala = Lemmy Ongara
- Dada Ritha = Da Lita
- Barrick = Baliki
- Wizara = Wizala
- Halmashauri = Harimashauli
- Baraka = Balaka
- Ramadhani = Lamadhani
- Robert = Lobati
- Ricky = Liki
- Railways = Lelwey
Tuongezee..
Si muda mrefu nami nafikiri ntatumbukia kwenye hili janga...😡🙁