Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Mara = madaMleta Mara kanifurahisha sana kuleta hii mada.
Usirudie kukosea tena tena.[emoji123][emoji123][emoji118]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara = madaMleta Mara kanifurahisha sana kuleta hii mada.
Kosa hilo linajulikana ni typo. Lakini la R na L ni upunguani.Mara = mada
Usirudie kukosea tena tena.[emoji123][emoji123][emoji118]
1.Hutumika 1.Utumika 2.Akuja 2.Hakuja
Kwenye masuala ya kukuza na kueneza lugha sina tatzo na ww bibi yanguTazama post ya juu yako, mamba 9.
Huwa nakereka saana kukuta mtu kaandika chakura kurara lamani.Kosa hilo linajulikana ni typo. Lakini la R na L ni upunguani.
Wanikumbusha wanangu pia, aise wako kama Sadistics! Usemavyo na kuwakanya kwenye mambo kama haya au mengine ya kurekebishana ni kama wanakuona zuzu! Kwanza nahisi wanafurahi napokereka, naona ndio yawafanya wawe na furaha, ni maudhi kabisa, mzazi yafika muda wanyoosha mikono na kwenda pub kushusha bia ulale tu, shida ya nini eti?! Shauri yao...Kwa watu au watoto wengi/sio wote walio zaliwa Dar es salaam wana shida ya kuweka L penye R ,mf.Ramani watasema lamani n.k,hata watoto wangu pia wameingia kwenye hilo janga nimesema mpaka nimeamua kuwaacha waongee wanavyotaka,maana sasa wanakua vijana lakini mambo ni yale yale...
Kuna hizi herufi zinanichanganya toka la popo hadi leo a e i o u na ha he hi ho hu
Wewe ni mhaya?Kuna hizi herufi zinanichanganya toka la popo hadi leo a e i o u na ha he hi ho hu
Mamba = nambaTazama post ya juu yako, mamba 9.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] eti upunguani.Kosa hilo linajulikana ni typo. Lakini la R na L ni upunguani.
Rakini kabira zetu na rafudhi zatufanya kiswahiri kiongerewe hivi dada, hatuna jinsi, kira mtu twajuwa hawapendi ira mararamiko yenu tunayushughurikia, mala kwa mala twajuwa twawakela watu rakini tufanye nini mama?!Ni kero kweli kweli. Mtu anayeongea hivyo asiniongeleshe tafadhali
Umeniudhi ujue...sasa jamani hata kama ni kabila, umepelekwa shule ya msingi, sekondari mpaka chuo hubadiliki tuuu? Huyo mwalimu wako wa kiswahili alikuwa anafanya kazi gani?Rakini kabira zetu na rafudhi zatufanya kiswahiri kiongerewe hivi dada, hatuna jinsi, kira mtu twajuwa hawapendi ira mararamiko yenu tunayushughurikia, mala kwa mala twajuwa twawakela watu rakini tufanye nini mama?!
Pore dada basi wacha nisienderee kuchat nawe naona utaudhika zaidi...😳🙁Umeniudhi ujue...sasa jamani hata kama ni kabila, umepelekwa shule ya msingi, sekondari mpaka chuo hubadiliki tuuu? Huyo mwalimu wako wa kiswahili alikuwa anafanya kazi gani?