Nina uzoefu wa hii yenye cc2 elfu na mia zake ambazo ni VVTi injini zinaenda wastani wa km10 kwa Lita 1. Ni gari nzuri kuanzia kwenye bodi, nafasi ya gari, idadi ya siti, spea zinapatikana sana. Ila kumbuka kwa wakati huu mtu asikuogopeshe kwa ukubwa wa injini za magari kwani teknolojia imekuwa mno. Mfano mdogo tu ukichukua gari yenye cc 1900 kavu inatumia mafuta kiwango mengi kuliko hata gari yenye cc 2390 yenye vvti
Mkuu una uzoefu wa kutumia IPSUM yenye 4WD? hii gari ni nzuri sana kwa matumizi ya familia au safari ambayo imezidi watu wa5, kingine injini yake ndo hiyo ipo kwenye baadhi ya harrier, klugger na rav4.Nina uzoefu wa hii yenye cc2 elfu na mia zake ambazo ni VVTi injini zinaenda wastani wa km10 kwa Lita 1. Ni gari nzuri kuanzia kwenye bodi, nafasi ya gari, idadi ya siti, spea zinapatikana sana. Ila kumbuka kwa wakati huu mtu asikuogopeshe kwa ukubwa wa injini za magari kwani teknolojia imekuwa mno. Mfano mdogo tu ukichukua gari yenye cc 1900 kavu inatumia mafuta kiwango mengi kuliko hata gari yenye cc 2390 yenye vvti
Hapana nimetumia 2wheal. Hivyo sina uzoefu na hiyo lakini kama ni injini yenye vvti siyo shidaMkuu una uzoefu wa kutumia IPSUM yenye 4WD? hii gari ni nzuri sana kwa matumizi ya familia au safari ambayo imezidi watu wa5, kingine injini yake ndo hiyo ipo kwenye baadhi ya harrier, klugger na rav4.
Una uzoefu wa kuweka matairi yenye size kubwa/au kuweka rim zenye size kubwa kwa ajili ya kulinyanyua ili kulifanya lipite vizuri kwenye mashimo?Hapana nimetumia 2wheal. Hivyo sina uzoefu na hiyo lakini kama ni injini yenye vvti siyo shida
Niliwahi badili taili za Mbele nikaweka kubwa baada ya muda fundi alinishauri nizitoe kwani nimebadili mfumo orijino walioweka watengenezaji na kuniambia kuwa kuna madhara katika ulaji mafutaUna uzoefu wa kuweka matairi yenye size kubwa/au kuweka rim zenye size kubwa kwa ajili ya kulinyanyua ili kulifanya lipite vizuri kwenye mashimo?
Lakini ulipoweka si liliinuka?Niliwahi badili taili za Mbele nikaweka kubwa baada ya muda fundi alinishauri nizitoe kwani nimebadili mfumo orijino walioweka watengenezaji na kuniambia kuwa kuna madhara katika ulaji mafuta
Teknolojia ya sasa wanajaribu kutumia umeme zaidi kwenye mfumo wa engine kupunguza ulaji wa mafuta.Nina uzoefu wa hii yenye cc2 elfu na mia zake ambazo ni VVTi injini zinaenda wastani wa km10 kwa Lita 1. Ni gari nzuri kuanzia kwenye bodi, nafasi ya gari, idadi ya siti, spea zinapatikana sana. Ila kumbuka kwa wakati huu mtu asikuogopeshe kwa ukubwa wa injini za magari kwani teknolojia imekuwa mno. Mfano mdogo tu ukichukua gari yenye cc 1900 kavu inatumia mafuta kiwango mengi kuliko hata gari yenye cc 2390 yenye vvti
Ndiyo iliinukaLakini ulipoweka si liliinuka?
Gari ukinyanyua uapoteza stability inakuwa inyumba kwenye mwendo mkali.Lakini ulipoweka si liliinuka?
Mkuu Mani kukosa pesa mbaya sana, mtu unashindwa kununua gari ya juu maana bei imechangamka! mwisho wa siku tunaishia kuweka spacer, rim kubwa, tyre size kubwa! ila ni kweli gari likifanyiwa haya kuna athari kadhaa.Gari ukinyanyua uapoteza stability inakuwa inyumba kwenye mwendo mkali.
Huo mfuko unaoning'inia chini umebebe nini? Au ndio toolboxKuna jirani wa mimi ameniuzia huu mkebe, ndio hapa nawaza kuhusu mafuta utafunaji wa mafuta....View attachment 820766
Mfuko ukwapi hapo mkuu...!!??Huo mfuko unaoning'inia chini umebebe nini? Au ndio toolbox
Au ni macho yangu tu.Mfuko ukwapi hapo mkuu...!!??
Itakua umeona vibaya mkuu... tehteehhhAu ni macho yangu tu.