TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,763
- 4,041
Duh!mkuu kwani wewe ni mtoto wa mbwa?watoto wa mbwa kama sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!mkuu kwani wewe ni mtoto wa mbwa?watoto wa mbwa kama sisi
Kwa nini unasema hakuna,jaribu kutoa sababu za msingi ili nasi tupate kuelewa!Hakuna Hayatolah ila kuna Ayatollah
Binadamu na Bintadamu [emoji23][emoji23][emoji23]Kama tutakwenda kwenye chimbuko la maneno Marhum na al hayat, Marehemu ni mtu aliyekufa au mwendazake wakati hayati ni maisha kwa ujumla mfano, Al-Hayat Al-Dunya (The Life of This World]. Ni bahati mbaya kuwa neno hayati hutumika vibaya na kinyume cha maana yake halisi...