Matumizi ya Mbolea katika kilimo cha karanga

Matumizi ya Mbolea katika kilimo cha karanga

MAKULUGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2011
Posts
7,828
Reaction score
10,527
Naomba kupata uzoefu wa matumizi ya Mbolea za kukuzia katika kilimo cha mbegu zinazozalia chini...mfano karanga.
Nimejaribu ku google lakini maelezo hayajitoshelezi
Aidha nimeongea na wa kulima wengi wanadai karanga hazifai kuwekwa mbolea.
Nimeamua nifanye majaribio ya kulima nusu heka ,sikupandia mbolea sasa nataka nitumie booster nione itakuwaje.
Kwa muktadha huu naomba mwenye ufahamu na ushahidi Ili nijilipue.
Karanga zina mwezi mmoja na tayari zimepaliliwa.
 
Heading imekosewa...ni Kilimo cha Karanga!
 
Hawawezi kuja kwakuwa sio Uzi wa viraza huu ndugu.. KARANGA inafaa kuwekewa mbolea Kama mazao mengine unaweza kuweka kwa kuchota katika viganja vyako vya mkono na ukapanda kwa mistari katika mashimo Kisha ukaendelea na booster niliwahi kuweka hivyo nilivuna vizuri
 
Ukitumia mbolea ya madukani hakikisha unaanza na samadi Kisha urea malizia na NPK au CAN Yan kupandia, kukuzia, na kuzalishia sikushauri upandie DAP Kisha UREA ukuzie na CAN kunenepeshea Nina sababu
 
Ukitumia mbolea ya madukani hakikisha unaanza na samadi Kisha urea malizia na NPK au CAN Yan kupandia, kukuzia, na kuzalishia sikushauri upandie DAP Kisha UREA ukuzie na CAN kunenepeshea NinaAhsan
 
Ukitumia mbolea ya madukani hakikisha unaanza na samadi Kisha urea malizia na NPK au CAN Yan kupandia, kukuzia, na kuzalishia sikushauri upandie DAP Kisha UREA ukuzie na CAN kunenepeshea Nina sababu
Ahsante,kiongozi ,karanga zangu soon zitaanza kutoa Maua....
Ndio unashauri ntumie CAN ,,Sikupandia mbolea!
 
Booster ya Vigimax unaweza kupulizia kila baada ya week mbili
 
Hawawezi kuja kwakuwa sio Uzi wa viraza huu ndugu.. KARANGA inafaa kuwekewa mbolea Kama mazao mengine unaweza kuweka kwa kuchota katika viganja vyako vya mkono na ukapanda kwa mistari katika mashimo Kisha ukaendelea na booster niliwahi kuweka hivyo nilivuna vizuri
Mkuu Tafadhari sana mimi nililima kwenye shamba lilikuwa limewekewa mbolea ya samadi kwa wingi sana na akalima mara1 nami masika yaliyofuata nikalima karanga.Ni kwamba karanga zilikubali mno zilinawili hakuna mfano na zilizaa watoto wengi sana tena wakubwa cha ajabu ni kwamba kile cha ndani(karanga yenyewe) ni kadogo mno na kanakuwa na mwonekano wa kunyauka. Ndipo nilipoambiwa karanga na viazi havihitaji mbolea sana.

Kwa upande wa Viazi majani yanaweza yakawa mengi sana juu lakini kiazi kwa ndani ukakosa ukaambulia mizizi minene ama unaweza kupata viazi oversize ukikipika kinakuwa na mji maji hakina unga na saa nyingine hakiivi
hasa.Hii ni kwa uzoefu wangu kwa kuona mwenyewe!
 
Ukitumia mbolea ya madukani hakikisha unaanza na samadi Kisha urea malizia na NPK au CAN Yan kupandia, kukuzia, na kuzalishia sikushauri upandie DAP Kisha UREA ukuzie na CAN kunenepeshea Nina sababu
Kwanini unampotosha huyo kwa jambo ambalo hata wewe haujui?
 
Mkuu Tafadhari sana mimi nililima kwenye shamba lilikuwa limewekewa mbolea ya samadi kwa wingi sana na akalima mara1 nami masika yaliyofuata nikalima karanga.Ni kwamba karanga zilikubali mno zilinawili hakuna mfano na zilizaa watoto wengi sana tena wakubwa cha ajabu ni kwamba kile cha ndani(karanga yenyewe) ni kadogo mno na kanakuwa na mwonekano wa kunyauka. Ndipo nilipoambiwa karanga na viazi havihitaji mbolea sana.

Kwa upande wa Viazi majani yanaweza yakawa mengi sana juu lakini kiazi kwa ndani ukakosa ukaambulia mizizi minene ama unaweza kupata viazi oversize ukikipika kinakuwa na mji maji hakina unga na saa nyingine hakiivi
hasa.Hii ni kwa uzoefu wangu kwa kuona mwenyewe!
Nimeshangaa sana huyo mpuuzi anapotosha watu humu ndani eti karanga ziwekwe samadi
 
Download Chat GPT ni bora zaidi ya google.

Screenshot_20250123-145222~2.png
 
Mkuu Tafadhari sana mimi nililima kwenye shamba lilikuwa limewekewa mbolea ya samadi kwa wingi sana na akalima mara1 nami masika yaliyofuata nikalima karanga.Ni kwamba karanga zilikubali mno zilinawili hakuna mfano na zilizaa watoto wengi sana tena wakubwa cha ajabu ni kwamba kile cha ndani(karanga yenyewe) ni kadogo mno na kanakuwa na mwonekano wa kunyauka. Ndipo nilipoambiwa karanga na viazi havihitaji mbolea sana.

Kwa upande wa Viazi majani yanaweza yakawa mengi sana juu lakini kiazi kwa ndani ukakosa ukaambulia mizizi minene ama unaweza kupata viazi oversize ukikipika kinakuwa na mji maji hakina unga na saa nyingine hakiivi
hasa.Hii ni kwa uzoefu wangu kwa kuona mwenyewe!
K
Mkuu Tafadhari sana mimi nililima kwenye shamba lilikuwa limewekewa mbolea ya samadi kwa wingi sana na akalima mara1 nami masika yaliyofuata nikalima karanga.Ni kwamba karanga zilikubali mno zilinawili hakuna mfano na zilizaa watoto wengi sana tena wakubwa cha ajabu ni kwamba kile cha ndani(karanga yenyewe) ni kadogo mno na kanakuwa na mwonekano wa kunyauka. Ndipo nilipoambiwa karanga na viazi havihitaji mbolea sana.

Kwa upande wa Viazi majani yanaweza yakawa mengi sana juu lakini kiazi kwa ndani ukakosa ukaambulia mizizi minene ama unaweza kupata viazi oversize ukikipika kinakuwa na mji maji hakina unga na saa nyingine hakiivi
hasa.Hii ni kwa uzoefu wangu kwa kuona mwenyewe!
Upungufu
wa calcium phosphate huo , wanashauri utumia gypsum
 
Back
Top Bottom