Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,229
- 610
Ukweli mchungu lakini utasaidia kuokoa maisha ya mtu mmoja au zaidi, hivi unajua kuwa baadhi ya pombe huchanganywa na vilevi vyenye hatari kiafya kwa mfana Methanol, Ethanol au Furfural ambavyo kwa asilimia kubwa huchangia kusababisha upofu na haitakiwi kunywewa na binadamu?
Najua watu wengi wanapenda kutumia vilevi kama Viroba bila kujua athari zake kiafya, pia watu wanatumia spiriti wakati wa kunyoa bila kujua spiriti inatchanganywa na Methanol wakati wa utengenezaji.
Najua watu wengi wanapenda kutumia vilevi kama Viroba bila kujua athari zake kiafya, pia watu wanatumia spiriti wakati wa kunyoa bila kujua spiriti inatchanganywa na Methanol wakati wa utengenezaji.