The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Matumizi ama daily usage ya mtandao wa Threads yameporomoka kwa zaidi ya 60%.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi.That App will die a natural death. Madhara ya kutofanya innovation na ku copy.
Blud alibet kwamba kwakua Musk ana endesha twitter vibaya basi akileta clone ya Twitter atawin followers.
He could have added something that Twitter lacks na sio ku clone. People have no reason to quit Twitter for Twitter.
Kosa kubwa la mark ni copy and paste. Taasisi kubwa kama meta inakimbilia kunakili kazi za watu ni aibu ya mwaka.Niliingia mara moja sijarudi tena...ule aliofanya Mark ni ujinga,sijui kwanini kashindwa kufanya ubunifu.