Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Neno "kuweza" limekuwa linatumiwa vibaya sana kwenye kiswahili cha siku hizi. Luna mifano mingiya matumizi hayo haramu kwa mfano kwenye sentensi hii ina makosa:
"Mchezaji wa zamani wa timu A ambaye aliweza kufukuzwa kwenye timu hiyo, sasa hivi kajiunga na timu B."
Naomba thread hii ikusanye matumizi yote haramu ya neno kuwez, nitayaweka pamoja na kiuyapeleka BAKITA kwa ufumbuzi
"Mchezaji wa zamani wa timu A ambaye aliweza kufukuzwa kwenye timu hiyo, sasa hivi kajiunga na timu B."
Naomba thread hii ikusanye matumizi yote haramu ya neno kuwez, nitayaweka pamoja na kiuyapeleka BAKITA kwa ufumbuzi