BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
ha ha haa anananihii taratiiibu lol
hahahahahahahah hahahahahah haya mkuu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha haa anananihii taratiiibu lol
aisee kumbe...
baji uje kunidekea hivyo huku pm lol
Najiuliza ni kuwa sasa ni fasheni au
ndio labda waofanya hivi wanafanya makusudi
pengine wakihisi wanakuwa more sexy...hasa wasichana....
unakuta mtu mzima,na shule kaenda lakini katika mazungumzo
unasikia anasema nanilii..
akimaanisha nanihii,
zamani ilikuwa ni watoto tu ndo wenye kukosea huku,
siku hizi wasichana wakubwa tu ndo zaidi....
na idadi inaongezeka.......
sasa huwa najiuliza hivi kusema "nanilii"
ni fasheni au kunasababishwa na nini??????????
Alaaa kumbe!!a gal's gotta be shy a lil bit banaa!hilo neno linatumika kuficha neno ambalo tunaona aibu kulitamka. mbona hata baba nanilii analitumiaga akiomba nanilii?:A S-rose: