Matumizi ya Neno "Perfume"

Matumizi ya Neno "Perfume"

After shave ni tafauti na cologne

Kuongezea tu kwa aliosema eksi kidumu wangu
Nnavyojua kuna:
1. Cologne
2. Eu de Toilette
3. Deodorant, Body Spray
4.Body Mist.
5.Sterilizer

Mara nyingi hizi zote zinakuwa na "Perfume" ili zinukie, perfume ni mchanganyiko wa mafuta na viungo vingine vitoavyo harufu, sasa tukija kwenye matumizi ndio concentation hapo ina tofautiana, cologne ina more "concentrates" kuliko deodorant na eu de toilette, sasa hapo inahitaji kujua unataka nini na kwa matumizi gani, kwasababu kazi ya eu de toilette na deodorant ni kuondoa tu harufu ya jasho la mwili ,na husifika kwa kukaa muda mfupi tu ila Cologne ina uweo wa kukaa muda mrefu na haipakwi kwenye mwili kama body spray, eu de toilette au deodorants.
That is how I know so far nilivyokaa na wafaransa kidoogo au unasemaje King'asti eksi kidumu wangu unajua kabla sijaja kwako niliachana na kale kadada ka french.
 
umesomeka pia, so kwa maoni yako ni sahihi kutumia perfume kama generic term?
Kuongezea tu kwa aliosema eksi kidumu wangu
Nnavyojua kuna:
1. Cologne
2. Eu de Toilette
3. Deodorant, Body Spray
4.Body Mist.
5.Sterilizer

Mara nyingi hizi zote zinakuwa na "Perfume" ili zinukie, perfume ni mchanganyiko wa mafuta na viungo vingine vitoavyo harufu, sasa tukija kwenye matumizi ndio concentation hapo ina tofautiana, cologne ina more "concentrates" kuliko deodorant na eu de toilette, sasa hapo inahitaji kujua unataka nini na kwa matumizi gani, kwasababu kazi ya eu de toilette na deodorant ni kuondoa tu harufu ya jasho la mwili ,na husifika kwa kukaa muda mfupi tu ila Cologne ina uweo wa kukaa muda mrefu na haipakwi kwenye mwili kama body spray, eu de toilette au deodorants.
That is how I know so far nilivyokaa na wafaransa kidoogo au unasemaje King'asti eksi kidumu wangu unajua kabla sijaja kwako niliachana na kale kadada ka french.
 
umesomeka pia, so kwa maoni yako ni sahihi kutumia perfume kama generic term?

Of course kwasababu ipo katika kila kitu hapo juu ila inatooofautiana sasa na unataka nini,na uelewa wako ukoje, kwa mtu muelewa zaidi basi awe more "specific" na nini anachokitaka.
 
"My Rolls Royce spray cologne, the fragrance money.It's Bad Boy Records, bi+ch, you know I run it ciroc Amaretto coming, them bitches love it"---Big Hommie ur a lil' nigga Gary coleman(rip)
 
Of course kwasababu ipo katika kila kitu hapo juu ila inatooofautiana sasa na unataka nini,na uelewa wako ukoje, kwa mtu muelewa zaidi basi awe more "specific" na nini anachokitaka.

safi sana
 
"My Rolls Royce spray cologne, the fragrance money.It's Bad Boy Records, bi+ch, you know I run it ciroc Amaretto coming, them bitches love it"---Big Hommie ur a lil' nigga Gary coleman(rip)

you resemble indeed
 
Yesuuuuuuuu ruwaaaaaa! Unajua siku zote najuaga wewe ulikuwa mpyaaa nimekufungua kwenye makaratasi!
Mbutaaaaa nanga!
That is how I know so far nilivyokaa na wafaransa kidoogo au unasemaje King'asti eksi kidumu wangu unajua kabla sijaja kwako niliachana na kale kadada ka french.
 
Yesuuuuuuuu ruwaaaaaa! Unajua siku zote najuaga wewe ulikuwa mpyaaa nimekufungua kwenye makaratasi!
Mbutaaaaa nanga!

Hahaahaaa, uzuri wa rangi ya bodi haimaaanishi injini ni mpyaaaa, tehetehe.
 
Back
Top Bottom