Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,494
hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.................. kigezo kingine ni kipi?
Mnyamwezi!!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.................. kigezo kingine ni kipi?
Hembu niambie watafaham vipi, manake IT ilinipitia mbali kidogo.
mmmmmh! BADILI TABIA , ni nakengeza au hangover hapa?
Mi mwenyewe nimejionea maruweruwe tu, badili tabia na kusaka mume, khah!
Mkuu sasa nikianika siri hizo unataka wadau wa shughuli hizo wajipigie wanavyotaka? Kumbuka tu kuwa unapoona umetupia kitu kisichofaa kwenye mitandao na upo salama ujue bado hujagusa maslahi ya wenye uwezo wa kukupata.
he he he hureeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!
hata hilo hujui unajishongondoa nini sasa hapa nipishe!!!!!!
mkuu siyo wote wanataka kuolewa humu love connect!!!!!!!!!!!!!!!
Ninayemzungumzia ameshajijua wala usiwe na wasiwasi. Aliwahi kumkufuru maulana kwa mdomo wake mchafu na sasa anatamani kutongozwa wa kumtongoza hapatikani. Ana jazba jazba sana na kujua kwingi.
Kwenye kitabu chetu cha dini kumeandikwa kwamba mtu akitembea na baba yake kuna mushkeli, lkn yeye huyo aliwaambia makutano ni sawa tu
Sio kwamba nilipouliza nilikuwa sijui ni nini unamaanisha, au umevimba kichwa kwa kuitwa madam?
Nilikuwa nakulia pozi kwa kujisahaulisha maradhi yako na kujifanya hujui biashara yako ina madhara gani. Hivi hujagundua kuwa kila likitajwa neno 'MCHUMBA' au 'MUME' tayari umeshakurupuka kuwahi kuchangia mada?
Na nakuhakikishia HAUTAOLEWA NG'O, labda umpate mbaba mgane (aliyefiwa na mke) ambaye ni mtu mzima sana awe anatafuta mtu wa kumpikia uji. Lkn kwa style za kushoboka hajawahi kuolewa mtu.
Inspect tundu lako kwanza kabla hujalalamikia wanaume, halafu jikumbushe umetumika mara ngapi. Na nikukumbushe kuwa haina renewal hiyo, ikilegea imelegea...tehe tehe tehe!
Nitakuwa nakushtua nikisikia mtu anatafuta mchumba uwe unajaribujaribu, sawa madam!
Ninayemzungumzia ameshajijua wala usiwe na wasiwasi. Aliwahi kumkufuru maulana kwa mdomo wake mchafu na sasa anatamani kutongozwa wa kumtongoza hapatikani. Ana jazba jazba sana na kujua kwingi.
Kwenye kitabu chetu cha dini kumeandikwa kwamba mtu akitembea na baba yake kuna mushkeli, lkn yeye huyo aliwaambia makutano ni sawa tu
Ninayemzungumzia ameshajijua wala usiwe na wasiwasi. Aliwahi kumkufuru maulana kwa mdomo wake mchafu na sasa anatamani kutongozwa wa kumtongoza hapatikani. Ana jazba jazba sana na kujua kwingi.
Kwenye kitabu chetu cha dini kumeandikwa kwamba mtu akitembea na baba yake kuna mushkeli, lkn yeye huyo aliwaambia makutano ni sawa tu
si ni mwanaume na ana dushe kwani naolewa ili nikale???????
sina haja ya kuyainspect yameshatumika yote si chini ya mara mia.....
hata mi nikiona pia shost anahitajika nitakushtua te!!!!!!
unajua uzuri wa kutumia ID yako inayofahamika kuna faida kubwa sana unakuta humu kuna watu wanakufuatilia muda mrefu sema mtu anashindwa/ogopa kufunguka kwasababu moja au nyingine , sasa akiona unauhitaji inakuwa rahisi kufunguka.
kwanini hapo kwenye blue?
Na jinsi unavyochangia ndivyo inatoa tafsiri ya wewe jinsi ulivyo hivyo kutumia new ID inakuwa kidogo ni utata
Mi nawashangaa ndo maana kumbe wanarudi kulalamika oooh hatupati wake.....
wakati tupoSingle ladies hapa na we are Serious Searching!!!!!
mtu anakuja na kaID kapya hata hakajulikani anatafuta mke, utampataje wakati hata hakujui.
Imagine asakuta same unabandika hapa tangazo unatafuta kwanini nisite kuwa na wewe wakati nahitaji na nakujua??????
shauri enu na viID vyenu mtatafuta january to december hampati mtu hapa.........
kwahiyo na cc wageni jee, tuendelee kupiga pu...etoo!?