Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kile kiyoyozi pale kati lol....... kinakufanya usahau maumivu yote
Hata Mimi tangia ni ..... hadi nilishangaa nadhani ule u ac na ubaridi ni dawa
nzuri hizo za baridiiiii hadi rahaa
Kwakwel ata mi ped za HQ zmenisaidia sana tokea nitumie cumwi na tumbo tena
Kile kiyoyozi pale kati lol....... kinakufanya usahau maumivu yote
badae kinapoteleaga wapi naona kinakaa kwa dk chache
mh...mi ule ubarid unanishtuaga kweli..ila ni nzuri
Vingine Vilivyo Stiff Huwa Havikushtui?