Matumizi ya pumba za mpunga katika shamba la mahindi

Matumizi ya pumba za mpunga katika shamba la mahindi

Nyangabo2022

Senior Member
Joined
Nov 13, 2022
Posts
126
Reaction score
195
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu mwingi wa rehema, pia natoa pole Kwa wakulima wenzangu waliokumbwa na ukame katika msimu huu wa kilimo. Jambo lililonileta kwenu nikutaka kujua uhalisia wa mbolea za pumba ya mpunga ufanyaji KAZI wake pindi iwekwapo katika shamban la mahindi, karanga, maharage, alizeti, soya nk.

Nimewaza hili baada ya kukumbana na mvua zilzozidi kiwango Kwa mkoa wa RUVUMA znazopelekea madini kuyeyuka bila mpanglio kwenda chin Zaid ardhini hatimae mimea kukosa madini hayo hivyo huwalazimu wakulima kupata gharama kubwa ya kuendesha licha ya uwepo wa mashamba mengi yasiyotumika.

Lengo langu ni kuingia kusini na kuwa mkulima walau nilime hekari 50 kwenda juu maana mvua na ardhi sio shida Kwa mkoa huu! Sijabobea katika elimu ya kilimo lakn nahc mvua Hz husabanisha tindikali kwenye udongo na Kwa nlivyojarbu kulima mahindi mwaka huu nmekuta sehemu iliyo na majivu mazao ni marefu mara mbili tofauti na sehemu nyingine. Karbun Kwa mawazo yenu.
 
Pumba za mpunga ni mbolea nzuri sana kwa mahindi na mimea mingine.

Lundika vifusi vya wastani vya pumba ndani ya shamba angalau mwezi mmoja kabla msimu wa kilimo.

Pia mabaki ya miti iliyochomwa ni mbolea safi sana bila kusahau vinyesi vya wanyama hususani ng'ombe, mbuzi na kondoo hivyo kilimo chako kifanye sanjari na ufugaji wa ng'ombe kama itakupendeza.
 
Pumba za mpunga ni mbolea nzuri sana kwa mahindi na mimea mingine.

Lundika vifusi vya wastani vya pumba ndani ya shamba angalau mwezi mmoja kabla msimu wa kilimo.

Pia mabaki ya miti iliyochomwa ni mbolea safi sana bila kusahau vinyesi vya wanyama hususani ng'ombe, mbuzi na kondoo hivyo kilimo chako kifanye sanjari na ufugaji wa ng'ombe kama itakupendeza.
Umenikuna kiongozi, hivyo mbolea hii haihusiani na alikal pamoja na tindikali kwenye udongo Kwa maana kwamba unaeza ukaitumia ukaongeza uwepo wa kimoja wapo kati ya hvyo ukaleta madhara makubwa?
 
Umenikuna kiongozi, hivyo mbolea hii haihusiani na alikal pamoja na tindikali kwenye udongo Kwa maana kwamba unaeza ukaitumia ukaongeza uwepo wa kimoja wapo kati ya hvyo ukaleta madhara makubwa?
Sina uthibitisho wa kisayansi kama ina alikal au tindikali kiasi cha kuathiri udongo ila ni mbolea nzuri sana kwa mahindi maana ni mboji-inatokana na kuoza kwa mabaki ya mimea tu.
 
Sina uthibitisho wa kisayansi kama ina alikal au tindikali kiasi cha kuathiri udongo ila ni mbolea nzuri sana kwa mahindi maana ni mboji-inatokana na kuoza kwa mabaki ya mimea tu.
Kaka nakushukuru Sana hili nalifanyia Kaz km lilivyo, la mwisho je ukiweka mwaka huu na mwaka lazma uweke Tena?
 
Awali ya yote napenda kumshukuru mwenyez mungu mwingi wa rehema, pia natoa pole Kwa wakulima wenzangu waliokumbwa na ukame katika msimu huu wa kilimo. Jambo lililonileta kwenu nikutaka kujua uhalisia wa mbolea za pumba ya mpunga ufanyaji KAZI wake pindi iwekwapo katika shamban la mahindi, karanga, maharage, alizeti, soya nk, nmewaza hili baada ya kukumbana na mvua zilzozidi kiwango Kwa mkoa wa RUVUMA znazopelekea madini kuyeyuka bila mpanglio kwenda chin Zaid ardhini hatimae mimea kukosa madini hayo hivyo huwalazimu wakulima kupata gharama kubwa ya kuendesha licha ya uwepo wa mashamba mengi yasiyotumika. Lengo langu ni kuingia kusini na kuwa mkulima walau nilime hekari 50 kwenda juu maana mvua na ardhi sio shida Kwa mkoa huu! Sijabobea katika elimu ya kilimo lakn nahc mvua Hz husabanisha tindikali kwenye udongo na Kwa nlivyojarbu kulima mahindi mwaka huu nmekuta sehemu iliyo na majivu mazao ni marefu mar mbili tofauti na sehemu nyingine. Karbun Kwa mawazo yenu.
Ninachojua Mimi pumba za mpunga zina kiwango kingi cha carbon hivyo uozaji/decomposition yake huchukua muda mrefu.
Unaweza kuzibabua kwa Moto yaani combustion (carbonized rice husk) ili ziwe tayari kuoza na Zinakuwa minerlas nyingi pia.
 
Ninachojua Mimi pumba za mpunga zina kiwango kingi cha carbon hivyo uozaji/decomposition yake huchukua muda mrefu.
Unaweza kuzibabua kwa Moto yaani combustion (carbonized rice husk) ili ziwe tayari kuoza na Zinakuwa minerlas nyingi pia.
Vizuri kiongozi
 
Ninachojua Mimi pumba za mpunga zina kiwango kingi cha carbon hivyo uozaji/decomposition yake huchukua muda mrefu.
Unaweza kuzibabua kwa Moto yaani combustion (carbonized rice husk) ili ziwe tayari kuoza na Zinakuwa minerlas nyingi pia.
Hii ndiyo point...zama youtube upate muongozo kamili
 
kama utatumia mabaki ya Wanyama au mimea kama mbolea shambani basi fanya yafuatayo
  • kwa vinyesi vya Wanyama weka tani 16 kwa heka wiki mbili kabla ya kupanda na hakikisha unachanganya vizuri na udongo kabla ya kupanda.
  • Kama ni majani makavu weka baada ya kupanda kwani yatapunguza kiwango cha ukuaji wa magugu na kutunza unyevu.
  • Kama ni pumba na Maranda unaweza kuweka kabla au baada ya kupanda na hayana kiwango
 
Back
Top Bottom