Hivi ni kweli wasomi wa tanzaia hawajui matumizi ya 'S' na 'X' ????sababu imekuwa desturi sasa mtu tena msomi unakuta anaandisa xaxa badala ya sasa au axante badala ya asante ,,sasa hii huwa ni utoto,ushamba ,ulimbukeni au ndio kiswahihili cha kisasa.
Walianza ma teenagers ila nashangaa na mijitu mikubwa nayo imeiga! Mimi huwa siwajibu
Hivi ni kweli wasomi wa tanzaia hawajui matumizi ya 'S' na 'X' ????sababu imekuwa desturi sasa mtu tena msomi unakuta anaandisa xaxa badala ya sasa au axante badala ya asante ,,sasa hii huwa ni utoto,ushamba ,ulimbukeni au ndio kiswahihili cha kisasa.