LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 674
Hivi ni kweli wasomi wa tanzaia hawajui matumizi ya 'S' na 'X' ????sababu imekuwa desturi sasa mtu tena msomi unakuta anaandisa xaxa badala ya sasa au axante badala ya asante ,,sasa hii huwa ni utoto,ushamba ,ulimbukeni au ndio kiswahihili cha kisasa.