Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuandae pambano lisilo rasmiSpouse unazingua 😆
You're so sweet" ni special kwa wale wanaume wanaojua kuutumia uanamme wao vizuri kunako 6*6. G spot unaijua ilipo na unajua kuifikia, ukiambiwa rub clit una'rub effectively. Ile woman on top na wewe usaidie sio ulale kama mende aliyepoteza fahamu, ukiitwa itikiaaa sio ubaki unagumia kama paka aliyekabwa na mfupa.
Honga hiyo infinix X657 utaitwa majina yote mazuriMbona mimi siambiwi ivyo kuanzia leo ntaanza kutoa mpunga wa kutosha nione kama ntaambiwa you are so sweet[emoji14][emoji14]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Miaka 50 ni kibabu? Au mimi sijui maana ya kibabu50s and sooooooo sweet,wow [emoji23] [emoji23] [emoji23] vijana mna kwama wapi????
sema nini umejua kujibrand we kibabu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu kwa sasa nimeacha kuonga kuna kidada kimoja hivi nimekielewa sana kinanitunuku tunda hata kwa mkopoHonga hiyo infinix X657 utaitwa majina yote mazuri
na mke wako kuna mwanaume anamwambia "you are so sweet"
Habari wanajamvi, Ongereni kwa kazi za kila siku.
Binafsi umri wangu umesonga kidogo (50s) sasa. Kwa ufupi ni kwamba, nimejitahidi sana sana kuwa mwaminifu katika maisha yangu ya ndoa na sasa tuna watoto 4 (2 universities na 2 secondary schools) tunamshukuru Mungu sana sana. Hata hivyo na kama mnavyojua maisha ya ndoa hayapo smooth kiviile so imetokea mara kadhaa tukikosana na mke wangu huwa ninaamua kuchepuka na psychologically inanisaidia kujiona nimempanish mke wangu.
Na niseme tu ukweli katika kipindi chote cha ndoa nimechepuka kama mara 8 tu. Hata hivyo kilichonituma kuandika hii habari ni uzoefu wangu mdogo wa matumizi ya sentensi “You are so sweet” kwa sababu kila nikichepuka naambiwa you are so sweet na ni kwa wanawake/wasichana 7 tofauti. Sasa swali langu ni kwamba, je na nyie huwa mnaambiwa “You are so sweet” au ni mimi tu ??? Je “you are so sweet” ni general term au specific ??
Nawatakia siku njema wote!
Love is politics
Njema sanaKuna ka ukweli brother.
Habari za siku nyingi kaka