Matumizi ya Sentensi "You are so Sweet” na uhalisia wake

Matumizi ya Sentensi "You are so Sweet” na uhalisia wake

Spouse unazingua 😆


You're so sweet" ni special kwa wale wanaume wanaojua kuutumia uanamme wao vizuri kunako 6*6. G spot unaijua ilipo na unajua kuifikia, ukiambiwa rub clit una'rub effectively. Ile woman on top na wewe usaidie sio ulale kama mende aliyepoteza fahamu, ukiitwa itikiaaa sio ubaki unagumia kama paka aliyekabwa na mfupa.
Hebu tuandae pambano lisilo rasmi
 
Kwa sisi makapuku tukiambiwa hivyo ni baada ya game zito. ... Unapiga mpk inawaka moto na michuzi ya kutosha.
 
Hapo ulipomaliza kwa kuwahoji wenzio nimejikuta nacheka tu.Maana Kuna wenzako toka waanze huo mchezo wanawake 100+ hata wakuwaambia ur so salt hakuna.
 
Habari wanajamvi, Ongereni kwa kazi za kila siku.

Binafsi umri wangu umesonga kidogo (50s) sasa. Kwa ufupi ni kwamba, nimejitahidi sana sana kuwa mwaminifu katika maisha yangu ya ndoa na sasa tuna watoto 4 (2 universities na 2 secondary schools) tunamshukuru Mungu sana sana. Hata hivyo na kama mnavyojua maisha ya ndoa hayapo smooth kiviile so imetokea mara kadhaa tukikosana na mke wangu huwa ninaamua kuchepuka na psychologically inanisaidia kujiona nimempanish mke wangu.

Na niseme tu ukweli katika kipindi chote cha ndoa nimechepuka kama mara 8 tu. Hata hivyo kilichonituma kuandika hii habari ni uzoefu wangu mdogo wa matumizi ya sentensi “You are so sweet” kwa sababu kila nikichepuka naambiwa you are so sweet na ni kwa wanawake/wasichana 7 tofauti. Sasa swali langu ni kwamba, je na nyie huwa mnaambiwa “You are so sweet” au ni mimi tu ??? Je “you are so sweet” ni general term au specific ??

Nawatakia siku njema wote!


Michepuko 8 ??!!, You are so bitter in your senses that I can't imagine. 😒

Nakutakia akili njema.
 
Back
Top Bottom