Matumizi ya Sentensi "You are so Sweet” na uhalisia wake

Mbona mimi siambiwi ivyo kuanzia leo ntaanza kutoa mpunga wa kutosha nione kama ntaambiwa you are so sweet[emoji14][emoji14]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tuandae pambano lisilo rasmi
 
Kwa sisi makapuku tukiambiwa hivyo ni baada ya game zito. ... Unapiga mpk inawaka moto na michuzi ya kutosha.
 
Hapo ulipomaliza kwa kuwahoji wenzio nimejikuta nacheka tu.Maana Kuna wenzako toka waanze huo mchezo wanawake 100+ hata wakuwaambia ur so salt hakuna.
 


Michepuko 8 ??!!, You are so bitter in your senses that I can't imagine. 😒

Nakutakia akili njema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…