Matumizi ya SGR yavunja rekodi mpya mwezi wa Juni, yajayo yanafurahisha

Mchina akija bongo huaga mnawasiliana nae kw lugha gani...na mikataba inaandikwa kw lugha gani[emoji1787][emoji122][emoji1787][emoji1787]huwez shindani na kingereza...labda kiarabu tu ndio kitakipiga chini kingereza
Aangalie Japan, China..etc
 
Mchina akija bongo huaga mnawasiliana nae kw lugha gani...na mikataba inaandikwa kw lugha gani[emoji1787][emoji122][emoji1787][emoji1787]huwez shindani na kingereza...labda kiarabu tu ndio kitakipiga chini kingereza
Si umeona kuna miradi ya wachina TZ? Sasa unadhani hatuwasiliani?
 
Hakuna aliyesema hamuwasiliani...au mnawasiliana nao ki sukuma[emoji1787][emoji1787]
Matumizi ya lugha ni kuwasiliana... Kama mchina anajuwa kisukuma mbona pouwa tu... Vipi wa huko hawajui kikikuyu?
 
Aliyekuambia maendeleo huletwa na kiingereza nani.

Maendeleo huletwa wakati unasoma na kuelewa taarifa, hivyo kama una changamoto kwa lugha iliyotumika, basi unabaki umeganda na kuanza kuongea mambo ya catarist. Hakuna kitu cha msingi na muhimu kama mawasiliano, na lugha ndio husheheni mawasiliano, usipoielewa lugha unabaki gizani.
 
Hii ndiyo kenya bwana , tanzania tunategneeza mkoa wa rubondo kwanza
 
Wapi imeandikwa tani saba, huko Tanzania mna shule za English medium ambazo hufundisha kingereza, msiwe mnaona aibu kuhudhuria darasa moja na watoto, itawafaidi sana maana kingereza kimekua janga la taifa kwenu kuanzia Tandale hadi ikulu.
Wachezaji wa kenya misri walipoanza kuzungumza kiingereza , tukafungwa goli tatu, hahahaha
 
basi ni kama dala daladala kwa siku mara 7 .
 
Nyie mnavunja rekodi ya matumizi ya SGR lakini wachina wanawavunjia rekodi ya hasara(loss)
 
Aangalie Japan, China..etc
Japan na Uchina wamekuwa wakionge lugha yao kea zaidi ya miaka elfu mbili Tena ni watu wa kabila moja, tamaduni na lugha moja. Sasa wewe mfipa umeanza kuzungumza Kiswahili na wamakonde miaka haijazidi hamsini Sasa unataka kujilinganisha na kina China?? You must be stupid.
 
Nyie subirieni SGR ya Tanzania iishe Kwanza electric 160KM/hour. DRC Kenya msiipigie Sana mahesabu kwasababu ipo jirani zaidi na Tanzania kuliko kenya. Kenya lazima wapite Uganda ndio waje huko. Hiyo ni long distance
 
Nyie subirieni SGR ya Tanzania iishe Kwanza electric 160KM/hour. DRC Kenya msiipigie Sana mahesabu kwasababu ipo jirani zaidi na Tanzania kuliko kenya. Kenya lazima wapite Uganda ndio waje huko. Hiyo ni long distance

Miaka yote huwa tunaambiwa tusubiri hiki tusubiri kile kwamba Tanzania itatushinda hiki kikikamilika, kile kile kikizinduliwa, ni wimbo tumeuskia tangu uundwaji wa jamhuri ya Tanzania, mababu zenu waliimba, baba zenu wakadakia, nyie mnauimba leo na mtapokeza watoto wenu wataurithi....cha kushangaza, pengo la kiuchumi baina nchi zetu hizi linaendelea kuongezeka, tunazidi kuwaacha.
Hivi unajua hata bila SGR, soko la DRC tulikua tunagawana na nyie pamoja na kwamba hatupo nao kwenye mpaka mmoja, leo hii tunafanya makubwa ya kuwafikia kwa kasi, tumepiga hatua kubwa, cha msingi sisi ni watendaji hatuna maneno....hivi bado huwa mnaimba ule wimbo wa hapa kazi tu.
 
Kaka Mchina huyo
 
Wapi imeandikwa tani saba, huko Tanzania mna shule za English medium ambazo hufundisha kingereza, msiwe mnaona aibu kuhudhuria darasa moja na watoto, itawafaidi sana maana kingereza kimekua janga la taifa kwenu kuanzia Tandale hadi ikulu.
Utamaduni bro,sio akili NI lugha tu. Kikukyu. Kijaluo. Kikamba. Sio Kila mtu ajuwe
 
Utamaduni bro,sio akili NI lugha tu. Kikukyu. Kijaluo. Kikamba. Sio Kila mtu ajuwe

Lugha ndio hutangulia akili, ukidumaa kwenye lugha unabaki kama zezeta bila uelewa wa chochote.
 
Hilo mnalielewa vizuri Sana kwamba Tanzania ilikuwa nchi masikini miaka ya nyuma. Gap unalozungumzia mi silioni kama lipo unajua Kenya sahizi imeshaachwa uchumi na Ethiopia. Kiuchumi Barani Africa Ethiopia ni ya nane , ya Tisa ni Kenya na ya kumi ni Tanzania. SGR ya Tanzania inajengwa polepole but nikwamba ya Kenya imejengwa Kwa mkopo but hii ya Tanzania inajengwa Kwa hela za ndani. Ya Kenya sahizi inaendeshwa na wachina wakati hii ya Tanzania Tanzania itaendeshwa na watanzania. SGR ya Kenya mnanunua diesel ni expensive to run hii ya Tanzania itatumia electricity itakuwa cheap to run. Kuna sababu nyingi za uchumi wa Kenya kuwa mkubwa kuzidi Tanzania but ni Kwa mda tuu. Uchumi wa Tanzania unakuua Kwa Kasi kuzidi wa Kenya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…