Main character ni yupi?Ni video queen yupi kabeba idea nzima ya nyimbo?Ni yupi kaonekana sehemu kubwa?yule dem aliekuja kwa mondi mwisho wa video ya mbagala ni mweusi ama mwarabu.?
kaanza vizuri kamaliza vibayaMain character ni yupi?Ni video queen yupi kabeba idea nzima ya nyimbo?Ni yupi kaonekana sehemu kubwa?
Halafu kwanza,huu ubaguzi unatoka wapi wakati wote ni watanzania?
Wewe ndio wasemakaanza vizuri kamaliza vibaya
Ni hivi, wenzio huwa wanashuti video zao S. Africa. Kule mamodel weusi wana nyodo fulani na wanajikweza sana. Kuwapata ni gharama kuliko wazungu na mchanganyiko ndio maana huwa wanawatumia hao zaidi wakienda kule. Kwa hapa bongo unamtumia mzungu au chotara wa nini? Hivyo sidhani kama ni kweli hilo unalosema. Hayo maswali ya kutumia weupe kama mamodel waneshaulizwa sana kwenye media. Ila si mbaya. HongeraAsalam aleikum.
Hivi majuzi niliandika makala kuhusu wasanii wa bongo kupenda kutumia mabinti weupe ama wazungu kwenye video zao: Wasanii wa Bongo wanaboa
Nahisi watu wa karibu wa Diamond walimfikishia ujumbe wangu na kuamua kujirekebisha.
Diamond amesema kama wewe ni binti mwenye muonekano wa kiafrika mtumie DM upate nafas ya kushiriki katika video hiyo.
View attachment 362988
Sasa naamini kuwa JamiiForums ni zaidi ya mtandao wa kijamii kwa maana wasanii na watu mbalimbali wanapita hapa na kusoma mawazo yetu.
Haya Nipigieni Makofi tafadhali..
Kwan mkuu hy mpya wajua maudhui?Lazma kafikishiwa ujumbe mana hata hiyo video tungeona wazungu tu
Hilo la mamodel weusi wanaringa SA nakataa.Ni hivi, wenzio huwa wanashuti video zao S. Africa. Kule mamodel weusi wana nyodo fulani na wanajikweza sana. Kuwapata ni gharama kuliko wazungu na mchanganyiko ndio maana huwa wanawatumia hao zaidi wakienda kule. Kwa hapa bongo unamtumia mzungu au chotara wa nini? Hivyo sidhani kama ni kweli hilo unalosema. Hayo maswali ya kutumia weupe kama mamodel waneshaulizwa sana kwenye media. Ila si mbaya. Hongera
Ndio nayajuaKwan mkuu hy mpya wajua maudhui?
umenifanya niitafute hiyo video asee.mkuu cha ajabu nini hapo huyo dem ni "made in BEIJING" full kuwaka kwenye kichupa #masogangetupakule#
yeah fellowUshamba tu.Black the berry the sweeter the juice.
Unanikumbusha Me na mabinti damdammuonekano wa kama MIRIAM ODEMBA, zamani, au HAPPINESS MAGESE
upo sahihi bro na ndio maana wamawake wetu weusi wanajichubua wakidhani kwamba weupe ndio uzuri/uremboTatizo siyo kuwaweka wanawake weupe hata kidogo,
Bali, tatizo ni kuwaweka wanawake weupe huku kichwani wakiamini wanawake weupe ni bora kuliko weusi.
Hili la pili ni utumwa wa kifikra ambao unatutesa sana wanaume weusi.
Nimetoka kuangalia Video mpya ya Mr bluu "mboga saba" na nasikitika kusema kwamba sijaipenda sio kwamba nyimbo ni mbaya bali ni kwa haka katabia ka wasanii wa Bongo kuwaweka kwenye video Madem weupe(waarabu,wahindi,wazungu na wale wenye muonekano wa light skins). Hii inaonesha ni jinsi gani sisi watu weusi hatujikubali wenyewe na ndo mana sishangai kuona idadi ya wanawake wetu weusi wakijichubua ngozi zao.
Kila Msanii anataka ashoot na dem mweupe. Rejea video za Diamond, Alikiba,Ommy Dimpoz,Blue,Hamonaiza na wengine kibao. Hata hao wazungu wenyewd wanatushangaa kuona jinsi tunavyowanyenyekea. Mfano yule dem alioshuti "Bado" ya Hamonaiza ilitokea ajali kidogo basi dem akagoma, Wacha majamaa wampigie magoti kisa dem mweupe mpaka akakubali na dau wakapandishiwa.
ACHENI USHAMBA WASANII WA BONGO FLEVA
Ukifika Manyoni na Ikungi ndio balaa!Mbona kawaida sana hao watoto rangi ya sheshe wapo kila kona
Iringa
Tabora
Tanga
Dom
So na wao ni wa tz so mkiona hivyo ujue ni kawaida sana.
Kilosa mashombe kama hao wapo kibao
Ni wa tz jamani ni rangi tu.
Asante sana. Umeongea kweli,tukiwekeza katika productions zetu na kuwa na madirectors wengi wazuri hapa hapa kutawazui wasanii wetu kwenda nje ya tz kushoot video na itasaidia kupatikana kwa ladha halisi ya video zetu ikiwa pamoja na kuwatumia mamodels wetu wa kiafrika.Nakusahihisha kidogo Mkuu,
Directors ndiyo wanapaswa kulaumiwa,
Lakini pia kuna Maeneo ambayo hawa Jamaa wanafanya Shooting Kumpata Model wa Kiafrika Pure ni shughuli,
Kwa hiyo naomba tuweke akiba ya Maneno, Tuwapongeze kwa hatua waliyofikia, halafu Binafsi nawashauri wanamziki waangalie yafuatayo:
1.Kuwa na Menejimenti Nzuri-Najua ni gharama, lakini nothing come easy
2.Kuwa na Madirector wa uhakika,
3.Kuwa na Maproducer Tofautitofauti ili tupate ladha tofauti
4.Kuwa na Fashionista, Designer Tofautitofauti
5.Kufanya Video Maeneo ya hapa Tz kwa Nyakati tofautitofauti
6.Kujaribu Kupata Vifaa Bora Zaidi ili Video Ziwe katika Ubora wa hali ya Juu, at least sasa tumetoka quality ya 360 mpaka 480, Basi tufike 720.
Hivi vyote ni gharama, lakini kidogokidogo Mkiweza kuwekeza basi Wasanii watafika.
7.AOB: Kubali kushauriwa, kuandikiwa Nyimbo,Kushirikishwa, Being flexible is what made me Successful Man, Don't quote me wrong, I am not rich! I am successful man.
Kweli ila tunapoelekea wataona kawaida kwasababu dunia imebadilika, zamani hao waarabu walikuwa kama lulu kumpata lazma uwe na "mali" ama uwe mwarabu mwenzao ila skuizi dijitali imesaidia tunajichanganya nao.Kabla hatujawalaumu wasanii, tuseme ukweli tu. Hata mtaani wanaume wengi huona ujiko kuwa na mademu wa kichotara, kizungu, kiarabu zaidi kuliko mademu wa kibongo.
Nimetoka kuangalia Video mpya ya Mr bluu "mboga saba" na nasikitika kusema kwamba sijaipenda sio kwamba nyimbo ni mbaya bali ni kwa haka katabia ka wasanii wa Bongo kuwaweka kwenye video Madem weupe(waarabu,wahindi,wazungu na wale wenye muonekano wa light skins). Hii inaonesha ni jinsi gani sisi watu weusi hatujikubali wenyewe na ndo mana sishangai kuona idadi ya wanawake wetu weusi wakijichubua ngozi zao.
Kila Msanii anataka ashoot na dem mweupe. Rejea video za Diamond, Alikiba,Ommy Dimpoz,Blue,Hamonaiza na wengine kibao. Hata hao wazungu wenyewd wanatushangaa kuona jinsi tunavyowanyenyekea. Mfano yule dem alioshuti "Bado" ya Hamonaiza ilitokea ajali kidogo basi dem akagoma, Wacha majamaa wampigie magoti kisa dem mweupe mpaka akakubali na dau wakapandishiwa.
ACHENI USHAMBA WASANII WA BONGO FLEVA