Matumizi ya x sehemu ya s

...wacha weeh toto limeandika kwa mashauzi halafu likamalizia na vi emoji Fulani hivi vya kichokozi vya kulegeza macho

baby girl bless your father.. yani Agata hata ukinificha kweny dirisha au chini ya uvungu wa piemu yako mi sawa tu
😳 😳 😳
 
Hii ni abuse...kwani ndevu zetu zinauhusiano gani na mwandiko.

Itabidi wanaume tuanzishe chama chetu tuna -abuse -wa saana.
Wanawake wa jf tunatukanwa kila siku humu ni vile tuna roho ngumu ndomana hatuachi kuingia.
 
Na pia matumizi ya "tyu" badala ya 'tu' kwa mwanaume ni dalili mbaya sana ila wanahisi ndo swaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…