Ghost MVP
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 439
- 736
Kwa wale ambao wakiumwa Kichwa tu wanameza dawa, akijisikia kuchoka tu kameza dawa hii ni hatari.
Tafiti zinaonesha Kutumia Antibiotics nyingi hupelekea kuua Bakteria walinzi wa mwili na kusababisha Fangasi sehemu za Mwili, kama Ulimi, Koo, utumbo, Ini, lakini pia Huchosha Ini na kuweza kusababisha hata Ini kufeli kwa wakati fulani, na kuweza Kusababisha kansa aina mbalimbali.
Afya kuitunza ni bure ila ikishatetereka utairejesha kwa Gharama Kubwa sana.
Zingatia Sio ukijisikia Vibaya basi unahitaji dawa ya kukuboost. Vimafua kidogo vya aleji, ushabwia antibiotics..
Tunza Afya yako.
Tafiti zinaonesha Kutumia Antibiotics nyingi hupelekea kuua Bakteria walinzi wa mwili na kusababisha Fangasi sehemu za Mwili, kama Ulimi, Koo, utumbo, Ini, lakini pia Huchosha Ini na kuweza kusababisha hata Ini kufeli kwa wakati fulani, na kuweza Kusababisha kansa aina mbalimbali.
Afya kuitunza ni bure ila ikishatetereka utairejesha kwa Gharama Kubwa sana.
Zingatia Sio ukijisikia Vibaya basi unahitaji dawa ya kukuboost. Vimafua kidogo vya aleji, ushabwia antibiotics..
Tunza Afya yako.