KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Hii Tsh, itakuwa app anayotumia default ipo kwenye USD..Ni $ au Tsh?
Kumbe ni matumizi ya biashara mkuu! Tukajua matumizi binafsi... Anyways matumizi ya vitu kama michango na kusaidia ndugu ingependeza ungekuwa unatoa kwenye faida ikishakuwa mfukoni, ukitoa kwenye matumizi ya biashara inaweza isikupe picha halisi ya hali ya biashara yako..Kwa wanaouliza app inaitwa 'Spending'
Na unaweza kuweka mapato pia na mwisho ndani ya mwez ukajua kama umeingiza au umekula mtaji
Kuna msemo
"Biashara bila Budget utawalalamikia wachawi na chuma ulete"
Najitaidi kupunguza, ila ndo hvyo tena kuna vitu vingine haviepukiki kama binadam, isingekuwa naandika matumizi ningekuwa najiona bahiri sanaDu! yani ukipigwa chini Leo, ndani ya miezi 2 utakuwa maskini kuliko muuza vitumbua pale Mwananyamala.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona wasichana wamelamba 13% ya matumizi yako huku ndugu wakiambulia 0.009[emoji16]
Sijaweka tu sehem ya mapato, idea ni kuona matumizi, nmeanza kuona na mapato nikiweka itakuwajeShida ni cha-kuwekea / kuweka au shida ni ujazaji?
Sababu kama kuweka tu hata diary inaweza kufanya hivyo au kama ukiwa unatumia sana mfumo wa cashless utajua tu Na ukizingatia maisha ya wengi sasa ni kuziba mashimo hapa ameshakopa mpaka December kwahio anachopata leo ni cha kuwalipa watu aliowapa ahadi September....
Kwahio huyu hata ukimpa Kishikwambi sana sana ni kumuongezea Stress tu....
Ni kila kitu, biashara au sio biashara matumizi ni matumiziKumbe ni matumizi ya biashara mkuu! Tukajua matumizi binafsi... Anyways matumizi ya vitu kama michango na kusaidia ndugu ingependeza ungekuwa unatoa kwenye faida ikishakuwa mfukoni, ukitoa kwenye matumizi ya biashara inaweza isikupe picha halisi ya hali ya biashara yako..
Rudia kunisoma hapo juu..., utagundua kwamba tatizo sio kwamba kizazi cha sasa ni wafujaji bali kinachopatikana hakikidhi hata ku-sustain zile three basic needs...Sijaweka tu sehem ya mapato, idea ni kuona matumizi, nmeanza kuona na mapato nikiweka itakuwaje