KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,520
- 2,816
Kwa wanaouliza app inaitwa 'Spending'
Na unaweza kuweka mapato pia na mwisho ndani ya mwez ukajua kama umeingiza au umekula mtaji
Kuna msemo
"Biashara bila Budget utawalalamikia wachawi na chuma ulete"
Na unaweza kuweka mapato pia na mwisho ndani ya mwez ukajua kama umeingiza au umekula mtaji
Kuna msemo
"Biashara bila Budget utawalalamikia wachawi na chuma ulete"