Matumizi yangu September

Matumizi yangu September

KweliKwanza

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2016
Posts
3,520
Reaction score
2,816
Screenshot_2022-10-21-16-13-44-53_68a57fb6e29971b75ab6e4126eda3ee0~2.jpg
 
Hii ni exact au ni wastani? Mimi bado natafuta njia nzuri ya kumonitor matumizi yangu sijapata. Maana kuna wakati niliweka app kama hii ila sometimes natumia nasahau
 
=
Hapo kwenye 'vocha' waweza kupunguza matumizi ya fedha kwa asilimia 50 hadi 60 iwapo utajiunga na vifurushi vya 'post paid'
-Mfano kwa TZS. 15,000 unapewa dakika 1,800 za kutumia mwezi mzima.
-mfano wa pili | Kwa TZS 30,000 unapewa dakika 4,000 za kutumia mwezi mzima
Hiyo ni Tigo Post paid, Iwapo hutumii tigo angalia mitandao mingine wana hiyo huduma.
1666360517468.png
 
Hii ni exact au ni wastani? Mimi bado natafuta njia nzuri ya kumonitor matumizi yangu sijapata. Maana kuna wakati niliweka app kama hii ila sometimes natumia nasahau
Exactly, ila ukijitaid kuandika kabla hujatoa hella baadae unakalili na inakuwa tabia, ila kusahau lazima
 
=
Hapo kwenye 'vocha' waweza kupunguza matumizi ya fedha kwa asilimia 50 hadi 60 iwapo utajiunga na vifurushi vya 'post paid'
-Mfano kwa TZS. 15,000 unapewa dakika 1,800 za kutumia mwezi mzima.
-mfano wa pili | Kwa TZS 30,000 unapewa dakika 4,000 za kutumia mwezi mzima
Hiyo ni Tigo Post paid, Iwapo hutumii tigo angalia mitandao mingine wana hiyo huduma.
View attachment 2393811
Nmejiunga ya elf30 mwez huu, napata dk nyingnyingi na gb 25 kwa mwez
 
=
Hapo kwenye 'vocha' waweza kupunguza matumizi ya fedha kwa asilimia 50 hadi 60 iwapo utajiunga na vifurushi vya 'post paid'
-Mfano kwa TZS. 15,000 unapewa dakika 1,800 za kutumia mwezi mzima.
-mfano wa pili | Kwa TZS 30,000 unapewa dakika 4,000 za kutumia mwezi mzima
Hiyo ni Tigo Post paid, Iwapo hutumii tigo angalia mitandao mingine wana hiyo huduma.
View attachment 2393811
Nilochukua ni dk2500 gb 25 na sms chache
 
Back
Top Bottom