Matumuzi ya dawa ya meno

fimboyaukwaju

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2020
Posts
2,977
Reaction score
3,798
Bado naendelea na usafi wa nyumbani kwangu kama kawaida,muda huu ndio nimemaliza kusafisha bathroom yangu na sasa natumia astra badala ya dettol.Leo naongelea dawa ya meno,je wewe mwenzangu unatumia dawa ipi ya meno? Je kwa mfano umenunua dawa ya brand fulani,ikiisha unaenda kununua brand hiyohiyo au wewe hununua dawa yoyote ile?Mimi hutumia brand moja tu na inapoisha nanunua hiyo hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…