Matunda aina ya kiwi yanaweza kustawi Tanzania

Matunda aina ya kiwi yanaweza kustawi Tanzania

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ni tunda zuri sana kwa upande wa bei. Linauzwa ghali.

Japo yanapatikana kwenye masupermarket makubwa, hayalimwi Tanzania. Yanaagizwa toka nchi za nje.

Wakenya wameshaanza kulima kiwi. Miongoni mwa maeneo yanakolimwa nchini Kenya ni pamoja na Eldoret, Kiambu, Nyandarua, Meru, Nyeri, Nairobi, Kericho, Nandi, Bomet, Kisii, Kakamega, Kajiado, Nakuru, n.k.

Nimejaribu kuangalia sifa za hayo maeneo tajwa, hayatofautiani sana na baadhi ya maeneo ya Tanzania.

Ikiwa yanastawi nchini Kenya, yanaweza kustawi pia na Tanzania?

Nawapongeza baadhi ya Watanzania walioamua kujaribu kulilima hilo tunda. Wakifanikiwa wasiache kuleta mrejesho🙏
 
kiwi inaweza fanya vizuri maeneo mengi ya Tanzania, sema ni zao geni, kanda ya kaskazini yote inaweza stawisha kiwi, hata kanda ya kati nahisi, hata Morogoeo kote huko.

Maenei ya baridi kari kama Njombe na Iringa hayafai, kiwi haipatani na baridi kari.

Kiwi ni zao pia lenya pesa ila ni complicated sana, hasa uhitaji wake wa kuwa na jike na Dume. kiwi ni moja ya mimea ambayo ina jike na Dume na kazu ya dume ni kuchavusha majike, na bila dume hilo hakuna matunda.
 
Ni tunda zuri sana kwa upande wa bei. Linauzwa ghali.

Japo yanapatikana kwenye masupermarket makubwa, hayalimwi Tanzania. Yanaagizwa toka nchi za nje.

Wakenya wameshaanza kulima kiwi. Miongoni mwa maeneo yanakolimwa nchini Kenya ni pamoja na Eldoret, Kiambu, Nyandarua, Meru, Nyeri, Nairobi, Kericho, Nandi, Bomet, Kisii, Kakamega, Kajiado, Nakuru, n.k.

Nimejaribu kuangalia sifa za hayo maeneo tajwa, hayatofautiani sana na baadhi ya maeneo ya Tanzania.

Ikiwa yanastawi nchini Kenya, yanaweza kustawi pia na Tanzania?

Nawapongeza baadhi ya Watanzania walioamua kujaribu kulilima hilo tunda. Wakifanikiwa wasiache kuleta mrejesho[emoji120]
Mrejesho gani? huko uliko taja kama yana groe it means na Tanzanua oia, Kenya na Tanzania tuna share the same Climate, hakuna Climate iko Kenya huku haipatikani.
 
kiwi inaweza fanya vizuri maeneo mengi ya Tanzania, sema ni zao geni, kanda ya kaskazini yote inaweza stawisha kiwi, hata kanda ya kati nahisi, hata Morogoeo kote huko.

Maenei ya baridi kari kama Njombe na Iringa hayafai, kiwi haipatani na baridi kari.

Kiwi ni zao pia lenya pesa ila ni complicated sana, hasa uhitaji wake wa kuwa na jike na Dume. kiwi ni moja ya mimea ambayo ina jike na Dume na kazu ya dume ni kuchavusha majike, na bila dume hilo hakuna matunda.
Nashukuru sana mkuu. Nimekuwa nikifuatilia nyuzi zako kwa muda sasa, unaonekana upo deep kwenye kilimo.

Bila shaka na mbegu ya kiwi utakuwa nayo.
 
Kiwi ni nzuri ukiotesha cuttings zake, ukiotesha mbegu inachukua muda mrefu sana
 
Back
Top Bottom