Hii inanikumbusha kuna miaka nilipita na Dakar, Senegal nikakuta wa Senegali wanaosha nyama kwa sabuni (wanaifua) kabla ya kuipika. Kuuliza nikaambiwa hao ni Waislaam na dini yao inawaambia wasile damu, kwa hiyo wanahakikisha nyama haibaki na damu kabla ya kuipika.
Umeona mambo hayo? sisi huku tunaiosha kwa maji tu na kuipika (nyumbani) wauza mishkaki mitaani huko mwiko kuosha nyama, wanakuambia unaitoa ladha, hapo sasa.