The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Sijui kama watu wengi wanajua hii
imeingia fashen ya 'kuosha matunda na sabuni ya unga Dar...
matunda kama machungwa,maembe,matikiti....kwa wauza matunda hasa wa barabarani...
ukiona matunda yanang'aa sana na unayatamani.....basi probably ndo hayo...
sasa sijui hili lina madhara gani....kwa watumiaji...
imeingia fashen ya 'kuosha matunda na sabuni ya unga Dar...
matunda kama machungwa,maembe,matikiti....kwa wauza matunda hasa wa barabarani...
ukiona matunda yanang'aa sana na unayatamani.....basi probably ndo hayo...
sasa sijui hili lina madhara gani....kwa watumiaji...