Toplady
Senior Member
- May 13, 2014
- 192
- 80
- Thread starter
- #21
Kwa mtazamo wangu tsh 2000 ni bei kubwa sana. Tengeneza package za bei tofauti tofauti yaan kuanzia 500, 1000, 1500 na 2000. Hii itatufanya hata sie wenye bajet ndogo za lunch kupata mlo pamoja na matunda. Ni ushauri tu. Jaribu kutembelea ofis za wafanyakazi wa chuo cha mkwawa. Unaweza pata soko
Thank you sana ntafanya hvo