Matunda ya Tikiti kuoza yakiwa bado madogo

Matunda ya Tikiti kuoza yakiwa bado madogo

Fursakibao

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
6,813
Reaction score
11,540
Habari za asubuhi wana jamvi.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni nini sababu ya matunda matikiti kuoza yakiwa bado madogo.

Kwa mara ya kwanza nililima matikiti mwezi wa tisa, kwa bahati mbaya sikuweza kufanikiwa licha ya kufuata maelekezo ya wataalamu mbalimbali. Nilipiga madawa na kuweka mblea inavyotakiwa lakini tikiti zote zilioza shamba zima zikiwa na size ya kidole gumba.

Baada ya kuona hivyo nikaamua kuzing'oa zote niaaknza upya kwani sikukata tamaa baada ya kupata hasara kama ya M5.

Kwa titkiti nilizopanda mara ya pililicha, zilianza vizuri sana na kulikuwa na tofauti na za kwanza . Zilianza kuweka matunda wiki iliyo pita lakini sasa ule ugonjwa wa matikiti kuoza yakiwa madogo umeanza

naombeni ushauri kwa wale wenye uzoefu tafadhali.....
 
Hapo kuna uwezekano wa mambo matatu

1. Hamna uchavushaji kwa maana ua la tikiti jike halipati mbegu kutoka kwenye ua la tikiti dume.

2. Kuna wadudu wanaoshambuli maua au matunda madogo ya tikiti pengine magonjwa.

3.Yaweza kuwa ni upungufu wa mbolea au kirutubisho cha calcium ndio huweza kusababisha kuoza kwa tunda.

Nakushauri mtafute MTU humu jf anaitwa horticulturist au nenda kwenye maduka ya pembejeo za kilimo uonane na wataalamu utapata msaada zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo kuna uwezekano wa mambo matatu

1. Hamna uchavushaji kwa maana ua la tikiti jike halipati mbegu kutoka kwenye ua la tikiti dume.

2. Kuna wadudu wanaoshambuli maua au matunda madogo ya tikiti pengine magonjwa.

3.Yaweza kuwa ni upungufu wa mbolea au kirutubisho cha calcium ndio huweza kusababisha kuoza kwa tunda.

Nakushauri mtafute MTU humu jf anaitwa horticulturist au nenda kwenye maduka ya pembejeo za kilimo uonane na wataalamu utapata msaada zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa namba 1 mkuu.. Je unaweza kupandishia kama inavyofanyika kwa wanyama. Coz kama hayapati urutubishaji sasa hapo unafanya solution gani
 
Habari za asubuhi wana jamvi.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni nini sababu ya matunda matikiti kuoza yakiwa bado madogo.

Kwa mara ya kwanza nililima matikiti mwezi wa tisa, kwa bahati mbaya sikuweza kufanikiwa licha ya kufuata maelekezo ya wataalamu mbalimbali. Nilipiga madawa na kuweka mblea inavyotakiwa lakini tikiti zote zilioza shamba zima zikiwa na size ya kidole gumba.

Baada ya kuona hivyo nikaamua kuzing'oa zote niaaknza upya kwani sikukata tamaa baada ya kupata hasara kama ya M5.

Kwa titkiti nilizopanda mara ya pililicha, zilianza vizuri sana na kulikuwa na tofauti na za kwanza . Zilianza kuweka matunda wiki iliyo pita lakini sasa ule ugonjwa wa matikiti kuoza yakiwa madogo umeanza

naombeni ushauri kwa wale wenye uzoefu tafadhali.....
Mkuu tumia wataalamu,mtafute malila humu JF au Malembo Farm Facebook,Pili kabla ya kuwekeza kwenye kilimo cha tikiti ebu lima kama shamba darasa(pilot) kwanza la miche hata 20 kwanza!! Watumieni wataalamu na wazoefu kwenye fani kuepuka hasara!!
 
Hapo kuna uwezekano wa mambo matatu

1. Hamna uchavushaji kwa maana ua la tikiti jike halipati mbegu kutoka kwenye ua la tikiti dume.

2. Kuna wadudu wanaoshambuli maua au matunda madogo ya tikiti pengine magonjwa.

3.Yaweza kuwa ni upungufu wa mbolea au kirutubisho cha calcium ndio huweza kusababisha kuoza kwa tunda.

Nakushauri mtafute MTU humu jf anaitwa horticulturist au nenda kwenye maduka ya pembejeo za kilimo uonane na wataalamu utapata msaada zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyuki wa kutisha shambani, hivyo 1. moja nafikiri sio tatizo.
 
Mkuu nimetumia wataala
Mkuu tumia wataalamu,mtafute malila humu JF au Malembo Farm Facebook,Pili kabla ya kuwekeza kwenye kilimo cha tikiti ebu lima kama shamba darasa(pilot) kwanza la miche hata 20 kwanza!! Watumieni wataalamu na wazoefu kwenye fani kuepuka hasara!!
mkuu kwa suala la wataalamu nimetumia sana na nimefuata kila ushauri walio nipatia.
 
una uhakika na uwezo wa dawa unayopuliza? Ubora wa mbegu na aina unayopanda pia ni chagizo.

Nunua mbegu/dawa kutoka kiwanda kingine tofauti na uliyonunua mwanzo, si vibaya ukapanda viwanda 4 au zaidi tofauti uone kipi kinatoa matokeo mazuri
Huwenda tatizo lipo kwenye ratio ya mbolea au eneo hilo kuna wadudu wasiosikia dawa unayotumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi wana jamvi.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni nini sababu ya matunda matikiti kuoza yakiwa bado madogo.

Kwa mara ya kwanza nililima matikiti mwezi wa tisa, kwa bahati mbaya sikuweza kufanikiwa licha ya kufuata maelekezo ya wataalamu mbalimbali. Nilipiga madawa na kuweka mblea inavyotakiwa lakini tikiti zote zilioza shamba zima zikiwa na size ya kidole gumba.

Baada ya kuona hivyo nikaamua kuzing'oa zote niaaknza upya kwani sikukata tamaa baada ya kupata hasara kama ya M5.

Kwa titkiti nilizopanda mara ya pililicha, zilianza vizuri sana na kulikuwa na tofauti na za kwanza . Zilianza kuweka matunda wiki iliyo pita lakini sasa ule ugonjwa wa matikiti kuoza yakiwa madogo umeanza

naombeni ushauri kwa wale wenye uzoefu tafadhali.....

Jaribu kuyapasua utakuta ndani yana funza?.
Kama kuna funza jibu tukupe ufumbuzi
 
unalimia wap? nipigie kaka ikibidi uniuzie hiyo project ila hicho ni kitu kidogo sana piga 0692809620
Habari za asubuhi wana jamvi.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, ni nini sababu ya matunda matikiti kuoza yakiwa bado madogo.

Kwa mara ya kwanza nililima matikiti mwezi wa tisa, kwa bahati mbaya sikuweza kufanikiwa licha ya kufuata maelekezo ya wataalamu mbalimbali. Nilipiga madawa na kuweka mblea inavyotakiwa lakini tikiti zote zilioza shamba zima zikiwa na size ya kidole gumba.

Baada ya kuona hivyo nikaamua kuzing'oa zote niaaknza upya kwani sikukata tamaa baada ya kupata hasara kama ya M5.

Kwa titkiti nilizopanda mara ya pililicha, zilianza vizuri sana na kulikuwa na tofauti na za kwanza . Zilianza kuweka matunda wiki iliyo pita lakini sasa ule ugonjwa wa matikiti kuoza yakiwa madogo umeanza

naombeni ushauri kwa wale wenye uzoefu tafadhali.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka picha ya tunda lililoharibiwa ingekua rahisi kweli kweli walau ku suspect tatizo ni nini, ila kwa uzoefu wangu wa wakulima wenye case kama zako ni kuna wadudu wanaitwa Inzi wa matunda au kwa kimombo melon fly au wengine huita fruit flies. Ni wadudu waharibifu sana wa matunda hakuna mfano na kibaya zaidi hawafi kwa dawa za ku spray inabidi utafute dawa special ya kuua aina hiyo ya wadudu pekee ambayo hutundikwa shambani.
Nliekushauri ni mtaalam wa kilimo (afisa ugani).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungeweka picha ya tunda lililoharibiwa ingekua rahisi kweli kweli walau ku suspect tatizo ni nini, ila kwa uzoefu wangu wa wakulima wenye case kama zako ni kuna wadudu wanaitwa Inzi wa matunda au kwa kimombo melon fly au wengine huita fruit flies. Ni wadudu waharibifu sana wa matunda hakuna mfano na kibaya zaidi hawafi kwa dawa za ku spray inabidi utafute dawa special ya kuua aina hiyo ya wadudu pekee ambayo hutundikwa shambani.
Nliekushauri ni mtaalam wa kilimo (afisa ugani).

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu. Ni kweli hao Inzi wameonekana shambani
Hiyo dawa ya kutundika inaitwa je, na kwa ukubwa wa heka mbili naweza kutundika kiasi gani?
 
Jaribu kuyapasua utakuta ndani yana funza?.
Kama kuna funza jibu tukupe ufumbuzi
Matunda bado madogo sana ndio kwanza yana ukubwa wa kidole gumba.
Kwa kifupi toka nipande leo ni siku ya 29
 
una uhakika na uwezo wa dawa unayopuliza? Ubora wa mbegu na aina unayopanda pia ni chagizo.

Nunua mbegu/dawa kutoka kiwanda kingine tofauti na uliyonunua mwanzo, si vibaya ukapanda viwanda 4 au zaidi tofauti uone kipi kinatoa matokeo mazuri
Huwenda tatizo lipo kwenye ratio ya mbolea au eneo hilo kuna wadudu wasiosikia dawa unayotumia

Sent using Jamii Forums mobile app
maeneo niliyopo option ya maduka ya kilimo ni chache mno na msambazaji wao mkubwa ni balton.

Mbegu niliyo panda ni Sukari F1 na dawa nilizzo kuwa natumia ni Cutter, Dudu All, Nija plus, agrifos 400, ivory 72 na Othelo Top na zingine ambazo zimenitoka kidogo.
 
Kuna nyuki wa kutisha shambani, hivyo 1. moja nafikiri sio tatizo.
Mkuu kuoza kwa vitunda inaweza kuwa ni uwekaji dawa nyingi kama Dasban.

AU

Kuna wadudu wadogo ambao kienyeji huko mitaani wanaitwa inzi wa maembe hao huozesha hivyo vitunda vichanga vya tikiti. Kuna dawa nimesahau jina huwa unaweka kwenye vikopo unaweka sehemu nyingi shambani hao wadudu wanakimbia.

AU

Uchavushaji (pollination) sio mzuri kama alivyosema mdau ktk ile namba 1, nyuki wanaweza kuwa wengi lakini hawatui na kunyonya asali kwenye maua sababu ya harufu ya madawa. Kwa hivyo unatakiwa upulize dawa alfajiri au jioni karibu giza kabisa. Ikikulazimu punguza kiwango cha madawa makali.

NB: Watafute kilimomaarifa wana thread humu JF watakusaidia vizuri tu.
 
Mkuu kuoza kwa vitunda inaweza kuwa ni uwekaji dawa nyingi kama Dasban.

AU

Kuna wadudu wadogo ambao kienyeji huko mitaani wanaitwa inzi wa maembe hao huozesha hivyo vitunda vichanga vya tikiti. Kuna dawa nimesahau jina huwa unaweka kwenye vikopo unaweka sehemu nyingi shambani hao wadudu wanakimbia.

AU

Uchavushaji (pollination) sio mzuri kama alivyosema mdau ktk ile namba 1, nyuki wanaweza kuwa wengi lakini hawatui na kunyonya asali kwenye maua sababu ya harufu ya madawa. Kwa hivyo unatakiwa upulize dawa alfajiri au jioni karibu giza kabisa. Ikikulazimu punguza kiwango cha madawa makali.

NB: Watafute kilimomaarifa wana thread humu JF watakusaidia vizuri tu.
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu
 
Back
Top Bottom