Matunda yasiyo na mbegu

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,404
Reaction score
10,900
Naombeni anayejua matunda aina tano yasiyo na mbegu
1.Ndizi
2.
3.
4.
5.
 
Hiyo ulioanzanayo tu tayari umechemka. Kizazi hiki cha ajabu sana, nani aliwaambia ndizi haina mbegu?
 

Attachments

  • Inside_a_wild-type_banana.jpg
    39 KB · Views: 729
Naombeni anayejua matunda aina tano yasiyo na mbegu
1.Ndizi
2.
3.
4.
5.

Wamaanisha yale yasiyokuwa na mbegu kwa uasilia wake au..?, maana biotechnolojia imefanikisha kuondoa mbegu hata yale yaliyokuwa na mbegu kwa uasili wake!!
 
Wamaanisha yale yasiyokuwa na mbegu kwa uasilia wake au..?, maana biotechnolojia imefanikisha kuondoa mbegu hata yale yaliyokuwa na mbegu kwa uasili wake!!

Na hakuna tunda ambalo kwa uasilia wake halina mbegu. Kitu chochote chenye kutoa ua kina mbegu.
 
At last stage of growth zina mbegu sema can not be used in reproduction any more
 
hivi hapa tunaongelea mbegu....kama mbegu(kianzio cha mmea).....au matetere........?
 
Naombeni anayejua matunda aina tano yasiyo na mbegu
1.Ndizi
2.
3.
4.
5.

yasiyokuwa na mbegu kivipi? Au ukiwa unakula hilo tunda ndo usikute mbegu zake kwa ndani kama unavyokula chungwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…