Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

Kwahiyo unataka usemaje hapo? Maana unazunguka zunguka tu
 
Pole sana ndugu yangu......Mimi nipo nmelala tu sina amani tangu jana..hata mihangaikoni sijaenda leo najua sitaweza kufanya chochote
 
Umesahau nafasi ya Mungu kumuepusha asie na hatia, mtetea wanyonge mkweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hili ni dhahiri shairi lisu anaombewa kuliko mtu yeyote hapa Tanzania hata hao wanaoomba maombi hawaombewi kama lisu Mungu ubarikiwe kwa sababu wapiga risasi walishindwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu, nimejaribu kukuonesha ambacho niliona kinaweza kukusaidia kuona angle nyingine ya ulichokua unawasilisha hapa jukwaani. uwezo wa kuona au kutokuona haupo ndani ya uwezo wangu bali wako.

Hivyo, kama hujaona kilichopo kwenye hayo maandishi, Itakua umesoma tu maneno ila sio kilicho kwenye maneno na nyuma ya hayo maneno. Maneno yote nilioyaandika pale niliyahesabu na hayajaandikwa ili mradi.

Asomaye na afahamu.
Sasa kilichokufanya u criticize maoni yangu ni nini wakati wewe mwenyewe huna Kitu...halafu umekaza tu fikiria nje ya box.Wewe mwenye kifikiri nje nje ya box huna cha kifikiri!!
 
Why put amateurs on a sensitive 'element' like that!?
a single shot would suffice
 
Mungu yuko naLisu .hakuna chamafunzo sijui shabaha sijui vikaenda vikarudi .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…