Maturity ya Diamond Platnumz for "Returning to the society" leo Eid

Maturity ya Diamond Platnumz for "Returning to the society" leo Eid

Hata hiyo 500M hajawahi kuwa nazo CASH/BANK. Watu kama ww ndio hudanganywa na mtu kama yule. Vijana kibao mjini wana maisha kuliko huyo. Usifananishe umaarufu na PESA.
Kwani tumebisha basi,
 
Msani wa mbele anayeitwa adelle,tena ana mkwanja mrefu sana,baba yake juzi kati alifariki lakini mtoto wake alimkatia line
Kitambo sana

Ova
Ina maana mondi ameiga?
Hivi mzee mrangi mzee abdul ni baba yake mrangi
 
Kama alimkuta na mimba na akawa analea mimba huyo ni BABA YAKO. UBABA SIO SHAHAWA TU HATA MTU AKILALA NA MAMAKO WAKATI WA UJAUZITO WAKO NA AKAMPELEKA MAMAKO CLINIC HUYO NI BABA.
Your own definition
 
Back
Top Bottom