Kwani tumebisha basi,Hata hiyo 500M hajawahi kuwa nazo CASH/BANK. Watu kama ww ndio hudanganywa na mtu kama yule. Vijana kibao mjini wana maisha kuliko huyo. Usifananishe umaarufu na PESA.
Msani wa mbele anayeitwa adelle,tena ana mkwanja mrefu sana,baba yake juzi kati alifariki lakini mtoto wake alimkatia linehalafu baba yake anashindia mihogo
Hii ndio dunia
Upumbavu hauigwi wewe kichaaMsani wa mbele anayeitwa adelle,tena ana mkwanja mrefu sana,baba yake juzi kati alifariki lakini mtoto wake alimkatia line
Kitambo sana
Ova
Baba yake alikuwa wapi kujenga enzi za ujana wake?Kama ameshindwa kumjengea BABA YAKE hakuna afanyalo. Ukweli ni kwamba yule ni BABA YAKE NA ANAPASWA KUMSAIDIA KULIKO KUSAIDI WATU KWA KIKI.
Aliuza mali zake ili mtoto akue.Baba yake alikuwa wapi kujenga enzi za ujana wake?
Ina maana mondi ameiga?Msani wa mbele anayeitwa adelle,tena ana mkwanja mrefu sana,baba yake juzi kati alifariki lakini mtoto wake alimkatia line
Kitambo sana
Ova
Your own definitionKama alimkuta na mimba na akawa analea mimba huyo ni BABA YAKO. UBABA SIO SHAHAWA TU HATA MTU AKILALA NA MAMAKO WAKATI WA UJAUZITO WAKO NA AKAMPELEKA MAMAKO CLINIC HUYO NI BABA.
[emoji23][emoji23][emoji23]A cursed blessing
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwambie pepon hakuendek
Kwa kutoa bukubuku kwa watu 10
Alitumia alichokipata kumpa chakula na mavazi mtoto wake. Angeweza kujenga ila alimhudumia yeye, mamake na wakwe zake.Baba yake alikuwa wapi kujenga enzi za ujana wake?
Duh!Na wewe una utajiri kiasi gani? Au wanao utakuja kuwaachia urithi hizi thd unazoanzisha JF kila kukicha za kujikomba kwa mwanaume mwenzio?
Ingia Ig yakeLeta ushahidi...
Endelea kukaza fuvu [emoji23]A cursed blessing
Kwani humu unataka kuzania watu hawana kazi it's just for refreshmentsNa wewe una utajiri kiasi gani? Au wanao utakuja kuwaachia urithi hizi thd unazoanzisha JF kila kukicha za kujikomba kwa mwanaume mwenzio?
Kumbe haujawahi kukanwa....! [emoji24][emoji26][emoji119]Yule mzee Abdul aliyemlea alikwenda kumpa mkono wa Eid? Au anatafuta tu cheap publicity.
It's just a lessonIna maana mondi ameiga?
Hivi mzee mrangi mzee abdul ni baba yake mrangi